Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 173
- 465
Bro embu fafanua sokota eneo gani!? Na kwa wahaya ni wapi? zambezi pia ni wapi unafikaje?Kwa wahaya ,sokota ,zambezi
Asante mkuu nime mtumia hii kalifanyia kazi.Sinza durban sijaona malaya wala usumbufu.. unaingia unakula mziki unakula soda unakula nyama unaondoka. Zamani kangaroo
Gharama ni kinywaji chake na nauli yake.. siyo kiingilio . anataka tu kujua maeneo yenye amsha amsha nzuri ajifunze uchangamfu wa jiji.Yani unataka kuburudika bila gharama kabisa? Labda uende hapo beach mavi
Aende miskitini.Hello Guys.. wa Dar es salaam!
Hivi kwa ambao siyo wapenzi wa pombe wala Wanawake yaan siyo wapenda ngono, Na hatuna marafiki tuko na Introvet character tunaenda wapi kuburudika kipoteza muda kisha tuje kulala saa 5 majumbani hasa ukizingatia ni bachelor.
Msaada wa maeneo ya kum accompany mtu kam huyu ni yapi
NB:. Jamaa antaka eneo la kwenda siyo kwenda kuspend bali kuburudika kwa kutumia nauli yake tu nasio viingilio.
Mtajie kama una yajua ya hapa Dar es salaam.
Asanteni.
Jamani wahaya bado wapo?Kwa wahaya ,sokota ,zambezi
Eapoti, hapo pazuri na panafurahisha kwani kuna ndege wengi wanalalia.Hello Guys.. wa Dar es salaam!
Hivi kwa ambao siyo wapenzi wa pombe wala Wanawake yaan siyo wapenda ngono, Na hatuna marafiki tuko na Introvet character tunaenda wapi kuburudika kipoteza muda kisha tuje kulala saa 5 majumbani hasa ukizingatia ni bachelor.
Msaada wa maeneo ya kum accompany mtu kam huyu ni yapi
NB:. Jamaa antaka eneo la kwenda siyo kwenda kuspend bali kuburudika kwa kutumia nauli yake tu nasio viingilio.
Mtajie kama una yajua ya hapa Dar es salaam.
Asanteni.
Wapo mpk kesho!Jamani wahaya bado wapo?
Enzi hizo walikua Livingstone, Kisutu ilipo red Cross na Ubungo ilipo TBS. enzi hizo condom zinaitwa Durex lkn watu walikua hawazitumii. Hakuna ukimwi Wala Corona. Shilingi tano unapona. Hakuna nitumie nauli, Wala vocha, Wala kuku. Ni shilingi tano tu. Unakuta mtuakishatoka kupona ametia mkono mmoja mfukoni huku ameangalia chini. Aibu nyingii
Wahaya wameokoa ndoa nyingi sanaWapo mpk kesho!
KaaahhhhWahaya wameokoa ndoa nyingi sana
Unashangaa Nini?Kaaahhhh
Ni kwamba hana hela au ?Hello Guys.. wa Dar es salaam!
Hivi kwa ambao siyo wapenzi wa pombe wala Wanawake yaan siyo wapenda ngono, Na hatuna marafiki tuko na Introvet character tunaenda wapi kuburudika kipoteza muda kisha tuje kulala saa 5 majumbani hasa ukizingatia ni bachelor.
Msaada wa maeneo ya kum accompany mtu kam huyu ni yapi
NB:. Jamaa antaka eneo la kwenda siyo kwenda kuspend bali kuburudika kwa kutumia nauli yake tu nasio viingilio.
Mtajie kama una yajua ya hapa Dar es salaam.
Asanteni.