Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 173
- 465
Hello Guys.. wa Dar es salaam!
Hivi kwa ambao siyo wapenzi wa pombe wala Wanawake yaan siyo wapenda ngono, Na hatuna marafiki tuko na Introvet character tunaenda wapi kuburudika kipoteza muda kisha tuje kulala saa 5 majumbani hasa ukizingatia ni bachelor.
Msaada wa maeneo ya kum accompany mtu kam huyu ni yapi
NB:. Jamaa antaka eneo la kwenda siyo kwenda kuspend bali kuburudika kwa kutumia nauli yake tu nasio viingilio.
Mtajie kama una yajua ya hapa Dar es salaam.
Asanteni.
Hivi kwa ambao siyo wapenzi wa pombe wala Wanawake yaan siyo wapenda ngono, Na hatuna marafiki tuko na Introvet character tunaenda wapi kuburudika kipoteza muda kisha tuje kulala saa 5 majumbani hasa ukizingatia ni bachelor.
Msaada wa maeneo ya kum accompany mtu kam huyu ni yapi
NB:. Jamaa antaka eneo la kwenda siyo kwenda kuspend bali kuburudika kwa kutumia nauli yake tu nasio viingilio.
Mtajie kama una yajua ya hapa Dar es salaam.
Asanteni.