Maeneo mengi ya Dar es Salaam yananuka kinyesi

Hama ushwahilini mkuu. Kwanza mtu unawezaje sehemu hakuna hata miti. Mimi miti ni kigezo cha kwanza. Karibu Goba
 
Harufu ni ‘sensation’ mkuu.

Ukishaizoea huwezi tena kuihisi.

Ni kama radi ikipiga mahali wasipoishi binadamu.

Haitoi mngurumo wowote.
 
Direct kwenye mada!
Dar es salaam hasa Uswahilini kunanuka mavi.
Ila cha ajabu wananchi wa maeneo husika wako comfortable wanakula na kufanya shughuli zao maeneo yanayonuka kinyesi.
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…