Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Tuliza mshonoDirect kwenye mada!
Dar es salaam hasa Uswahilini kunanuka kinyesi
Ila cha ajabu wananchi wa maeneo husika wako comfortable wanakula na kufanya shughuli zao maeneo yanayonuka kinyesi.
Hilo Jiji lilishanishinda kwa uchafuDirect kwenye mada!
Dar es salaam hasa Uswahilini kunanuka mavi.
Ila cha ajabu wananchi wa maeneo husika wako comfortable wanakula na kufanya shughuli zao maeneo yanayonuka kinyesi.
🤣🤣🤣Direct kwenye mada!
Dar es salaam hasa Uswahilini kunanuka mavi.
Ila cha ajabu wananchi wa maeneo husika wako comfortable wanakula na kufanya shughuli zao maeneo yanayonuka kinyesi.