Maeneo muhimu ambayo Yanga wanapaswa kuyafanyia marekebisho ili waweze japo kuikaribia SIMBA SC katika medani ya kimataifa

Yanga kupata rekodi iliyo bora zaidi ya Simba itachukua zaidi ya mwaka mmoja unless mna jinsi ya kufika fainali, nusu fainali na robo fainali zaidi ya 4 mwaka huu huu mmoja jambo ambalo haliwezekani.

Timu mbili zikitajwa, moja ikiwa imefika robo fainali mara moja, nyingine mara mbili, wanafanya hivyo ili kwa haraka haraka utambue iliyo na historia bora zaidi kwa kufika level hizo mara nyingi zaidi.

Elewa somo kijana usikaze fuvu hilo.
 
Ahahaaha

Eti mabingwa wa kushiriki
 
Sasa nikichukua kombe huoni kama hiyo history yako itakuwa haina maana kuifananisha na Yanga?

Yaani wewe anaye fika robo fainali mara kwa mara kwako ni bora kuliko aliye shiriki mara chache na kuchukua? Ila si shangai mtakuwa msharizika kila siku kushiriki na kuishia robo.

Halafu mnajishtukia kabla ya mechi au mnawasiwasi kwamba tushatinga nusu fainali, tulieni rekodi zipo kwa ajili ya kuvunjwa na kila mtu ataandika histori yake,kwa wakati wake na kwa mbinu zake.

Ndio maana nikakwabia hatufanani hata approach yetu ya kufikia mafanikio na kwenu ni tofauti so uwezi kulielewa somo la pira sayansi, we endelea kubeba kuni na kuota moto kwenye viwanja vya watu na kurudi kinyumenyume.
 
Standard mliyoweka ni kuishia robo fainali ambapo yanga ana step moja tu kuivuka pale nyie mlipoishia. Na ana step mbili tu kupambania kombe.
Kikosi cha Simba SC mwaka 1993 ambacho kilifika fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993, (sasa limekuwa Kombe la Shirikisho) na kufungwa na Stella ya mjini Abidjan, Ivory Coast 2-0 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam baada ya sare ya 0-0 mjini Abidjan


 
Vunja rekodi hiyo kwanza
 
Caf confederation cup imeanza mwaka 2004. Hiyo ya mwaka 1993 sio Caf confederation cup bali ni CAF cup.
 
Matatizo ya akili haya sasa.
CAF WINNERS CUP ndio ilijulikana Kombe la washinde tangu miaka ya 70 na ndio shirikisho halisi. Hiyo michuano unayosema wewe ni bonanza zilizokuwa zinafanyika kila mwaka kuanzia mwaka 1992.
 
Matatizo ya akili haya sasa.
CAF WINNERS CUP ndio ilijulikana Kombe la washinde tangu miaka ya 70 na ndio shirikisho halisi. Hiyo michuano unayosema wewe ni bonanza zilizokuwa zinafanyika kila mwaka kuanzia mwaka 1992.
Uzumbukuku mtaacha lini?haya kipindi linafanyika kombe la washindi la Caf yanga haikuwepo?????ilifikia wapi?

Maana mada hapa ni mashindano ya CAF , na sijasema kuwa SIMBA SC ilicheza fainali ya shirikisho ila ilicheza fainali ya mashindano ya CAF ambayo leo hii yameboreshwa na kuwa kombe la luzaz hili ambalo utopolo wanaona kama klabu bingwa......hili sio klabu bingwa brothers ni kombe la waliofeli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Your browser is not able to display this video.
 
Caf confederation cup imeanza mwaka 2004. Hiyo ya mwaka 1993 sio Caf confederation cup bali ni CAF cup. View attachment 2578913
Mada hapa ni medani za kimataifa na hapo mwanzo hakukuwa na kombe linaloitwa shirikisho bali lilikuwepo kombe la CAF sasa hili kombe lilikuwa linashindaniwa KINESI au BARAFU¿??? na washiriki walikuwa ni sifa united,kauzu fc na kibada one? Au?

Kama akili zako chache hutonielewa hapa.....
 
Zamani kulikuwa na mashindano mawili makubwa ya CAF.
Kombe la kwanza ilikuwa inashirikisha timu zilizobeba ubingwa kwenye ligi zao na ilikuwa ndio klabu bingwa Africa.
La pili ilikuwa inaitwa Africa cup winner's.
Hii ni michuano ambayo ilihusisha waliochukua makombe ya shirikisho la soka nchini mwao,Mfano kama ilivyosasa kombe la Azam federation cup na hii ndio michuano ambayo ilikuwa sawasawa na CAF confederation cup kwasasa.

Hiyo ya tatu ilikuwa ni mashindano yasiyo na hadhi yeyote na ilikuwa inachukuliwa timu ambazo zimeshindwa kufuzu klabu bingwa na Africa cup winner's.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…