Maeneo ya kishua Dar? Taja eneo lako kama sijataja

Nilijenga mwaka 1990 baa ya Club de Masen Kigogo nimeiuza kitambo kwa sasa nipo aidha Italy au Manundu Korogwe na nina cash; je mimi ni poor?
 
Goba, kinyerezi magomeni kwa sheikh yahaya na kijitonyama kwa makinda mbona majina ya kimatumbi!!
 
l
Goba, Kinyerezi, Magomeni kwa Sheikh Yahaya na Kijitonyama kwa Makinda mbona majina ya Kimatumbi!!

Wabongo bana! Nishasema hapo 'nilicho note ni kwamba sehemu zenye majina ya kizungu au yanayovutia'

Huoni kama hiyo sentesi imetoa uhuru kwa majina mengine? Hata mie nimetaja Masaki na Mikocheni kama mfano!
 
Kwenye hio list zinazostahili ni
Masaki
Mbezi beach
Mbweni(sio yote)
Mikocheni(sio yote)

Kigamboni sio ushuani,nasema hivi nikiwa mkazi wa Kigamboni. Labda Kibada ndio kumepimwa na kuna nyumba za kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…