MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Haya maeneo ambayo Ukraine hataki kwenda meza ya mazungumzo pasipo kukabidhiwa
.Russia amekwapua maeneo hayo kwa ajili ya mkakati wake wa kuikabili NATO.
Kama Ukraine atang'ang'ana na mpango wake wa kwenda NATO hayo maeneo asahau katika ramani ya Ukraine.
Ukraine ameshupaza shingo na NATO yake acha ashupaze maeneo yamenyakuliwa na hawezi kuyarudisha kamwe.
Meza ya mazungumzo haina mambo magumu ni kwamba achana na NATO ,tukuachie maeneo yako hataki
.Russia amekwapua maeneo hayo kwa ajili ya mkakati wake wa kuikabili NATO.
Kama Ukraine atang'ang'ana na mpango wake wa kwenda NATO hayo maeneo asahau katika ramani ya Ukraine.
Ukraine ameshupaza shingo na NATO yake acha ashupaze maeneo yamenyakuliwa na hawezi kuyarudisha kamwe.
Meza ya mazungumzo haina mambo magumu ni kwamba achana na NATO ,tukuachie maeneo yako hataki