1. Kama Ukraine ataachana na mpango wake was kwenda NATO hayo maeneo asahau katika ramani ya Ukraine.Haya in maeneno ambayo Ukraine hataki kwenda meza ya mazungumzo pasipo kukabidhiwa
.Russia amekwapua maeneo hayo kwa ajili ya mkakati wake was kuikabili NATO....
Kwa hiyo Mrussi amekwapua na kuyashikilia hayo maeneo ili yatumike kama rehani, poni au "Mzigo" au dhamana/shinikizo la kwamba ili yarudishwe lazima Ukraine aachane na mpango wake wa kujiunga katika ushirika wa NATO?Haya maeneo ambayo Ukraine hataki kwenda meza ya mazungumzo pasipo kukabidhiwaView attachment 2474970
.Russia amekwapua maeneo hayo kwa ajili ya mkakati wake wa kuikabili NATO...
It's Alutacontinuos not Alutajacabour!No retreat no surrender
Watajua wenyewe. Ss tunachotaka kwanza Ni Nyani ateme bungo. La; Hataki ataendelea kupigwa kama ngoma ya bughobogobo siku ya Chaghulaga rurluu.It's Alutacontinuos not Alutajacabour!
Wewe ndiye unaumwa unaufananisha mgogoro wa NATO vs RUSSIA na familia au Halmashauri yako ya kichwa nakuomba ukasome upate faida na ukijua hata siku moja hutokuja toa mfano ya kitoto kama ulivyofanya sasa hiviKwa hiyo Mrussi amekwapua na kuyashikilia hayo maeneo ili yatumike kama rehani, poni au "Mzigo" au dhamana/shinikizo la kwamba ili yarudishwe lazima Ukraine aachane na mpango wake wa kujiunga katika ushirika wa NATO?
Kama ndo hivo, manake Urussi anataka naye aunde ka-ushirika fulani kwa nguvu ili kukabiliana na NATO. Ukisikia UBEBERU; huo ndio wenyewe katika uhalisia kamili. Utanichaguliaje rafiki, utanipangiaje nifanye nini ilhali mm ni mtu mzima kiakili na kiroho na niko huru?
Inaonekana Mrussi kuna kitu hakiko sawa huko kichwani mwake.