greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
1.ARUSHA
Hili ni jiji kubwa la kitalii hapa nchini na ndiyo makao makuu ya jumuiya ya afrika mashariki....pia mashindano ya AFCON yatafanyika huku.
2.KAHAMA
Mji mkubwa kwa biashara za madini hapa nchini....lakini ni kitivo cha biashara za mazao kwenda mikoa ya magharibi na nje ya nchi
3.MBEYA
Jiji kubwa katika ukanda wa nyanja za juu kusini,Jiji kubwa kwa biashara za mazao hapa nchini.
4.TUNDUMA
Mji wenye mapato mengi kutokana na biashara za mpakani.Mpaka mkubwa kuliko yote Tanzania.
Wananchi na wazawa wa mikoa husika pazeni sauti....Haiwezekani yani mpitwe hadi na stendi ya daladala mwenge au simu 2000
Hili ni jiji kubwa la kitalii hapa nchini na ndiyo makao makuu ya jumuiya ya afrika mashariki....pia mashindano ya AFCON yatafanyika huku.
2.KAHAMA
Mji mkubwa kwa biashara za madini hapa nchini....lakini ni kitivo cha biashara za mazao kwenda mikoa ya magharibi na nje ya nchi
3.MBEYA
Jiji kubwa katika ukanda wa nyanja za juu kusini,Jiji kubwa kwa biashara za mazao hapa nchini.
4.TUNDUMA
Mji wenye mapato mengi kutokana na biashara za mpakani.Mpaka mkubwa kuliko yote Tanzania.
Wananchi na wazawa wa mikoa husika pazeni sauti....Haiwezekani yani mpitwe hadi na stendi ya daladala mwenge au simu 2000