Maeneo yenye watoto wakali Dar

hembu tembelea Mwalimu Nyerere memorial Academy kisha urudi hapa.. Sema ukiwa na Genye hata dude liweje unaweza kuliona ni bonge la mrembo
 
from DIT corner to CBE... Akiba
pale kuna mchanganyiko wa Watoto wazuri hasa kutoka Tambaza, Zanaki, Jangwani, datastar college, utalii, cbe, dit, tpcs na shule nyingine kibao. Kila ikifikaga jioni huwa nakwendaga kutega pale kuyapa macho faida
 
We njoo mbande huku siku ya gulio j3 kuku wa kienyej kibwena
 
Yaani list yako bila kuitaja SiNza ni kosa sana, huku ndo kwenyewe.
 
Umepasahu MSOGA mkuu na kwenyewe ni balaaa....ingawa ipo nje kidogo ya Dar es salaam
 
Kwenye ndege kuna kila kitu, jila sample nzuri za wadada utapata...!
 
Kaka database yako naikubali
 
Una hela dogo? Kweli wenda uko sawa kazi ya macho ni kuona na roho kutamani, utaishia kutamani wenye nyasi zao wanakula vilivyoiva.
 
Weeee koma kabisaaa. Uliacha bilicanas hao wote ni wanafunzi wanaotafuta elimu. Irudishe kwenye suruali kama unajipenda.
 
If only our eyes saw souls instead of bodies. How very different our ideals of beauty would be!
 
Kifo bwana kinasababu zake na huenda wewe ukawa sababu pia
 
pale kuna mchanganyiko wa Watoto wazuri hasa kutoka Tambaza, Zanaki, Jangwani, datastar college, utalii, cbe, dit, tpcs na shule nyingine kibao. Kila ikifikaga jioni huwa nakwendaga kutega pale kuyapa macho faida


Utakuwa mwanafunzi tu ww huna majukumu tafuta kitu kikuweke bize uachane na huo upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…