wapi hapo?Kwa wahaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapi hapo?Kwa wahaya
Bills na Tamal ni sehemu stahiki? Tuliza kichwa dogo.
ndiyo kwa wahaya?from DIT corner to CBE... Akiba
Povu linakutoka, unadanganya wenzako.Tatizo lako we unawaza malaya tu kila mahali. Mimi nina watu wangu wanajiheshimu na wanaenda kucheza densi. Pia nimesema Mwenge maeneo ya Tamali au nyuma ya kituo cha polisi ndipo dada zetu wengi wanaenda kusuka huko. Hakuna malaya. Kama malaya wapo ni 'drop in the ocean'!
sasa was it necessary to mention CLub Bilicanas?Hatudeal na malaya. Tunataka kuwasaidia wale wanaolilia kutafuta wachumba hapa JF...
Hahahaha wakina nshomileeeeeKwa wahaya
huko kwa wahaya ndio wapi?Kwa wahaya
Hahahah...mtu achongeshe funguo bila Gari...lol hii Mpya..!!- Naomba kutumia GPS zenu wadau muweke maeneo yenye watoto wakali (kwa muonekano wa machoni) hapa Dar ili kuwasaidia wenzangu na mimi wanaosaka wachumba kuweza kufanikisha zoezi kwa urahisi zaidi.
- List yangu mimi inahusisha maeneo haya:
(1) Kigamboni Feri: Ebwana Dah! Mkiwa 'mmefungiwa' kwenye kile kichumba huku mnangojea kivuko kifike, ukipepesa macho huku na kule unaweza ukapata 'multiple visions' yani kushoto na kulia ni warembo wabichi wabichi ambao wana vigezo vyote.
(2) Mwenge karibu na Tamal Hotel: Mwenge ni eneo jingine potential. Sema siku hizi eneo hili limeathiriwa na kuhamishwa kwe stendi ila bado kuna 'residual' Kule nyuma ya Mwenge watoto wakali wakali wanaenda kusuka nywele. Niliwahi kufanya biashara mitaa ile mbona nilidata mwenywe kila saa napepesa macho tu huku siamini vinavyokatisha mbele yangu.
(3) Billicanas- Ile club ya Mbowe ndio funga kazi. Utadhani sijui hawa viumbe wameshushwa? Watoto ni warembo warembo weupeee. Hata sio rahisi kutofautisha weupe wa asili na ule wa dukani. Ninawataadharisha wenzangu na mimi Wasukuma wasikanyage hapo. Mnaweza mkahonga ng'ombe wooote!
(4) IFM- Hapa napo ni mashalaah. Kuna watoto utadhani wameshushwa kutoka wapi sijui... Angalau na siku hizi wameweka dress code angalau mtu unaweza ukatuliza akili ukasoma. Enzi zetu tunasoma pale watoto wamepiga pamba za hatari hatari ndio wanatokea lekcha. Kale kabumu mbona kalikuwa kanapata shida?
(5) Mlimani City: List yangu leo inaishia na hili eneo. Haya maeneo ni pasua kichwa kwa vile kila mtu anayekuja pale anajifanya wa kishua. Kila sista duu anayeingia pale kashika simu kubwa mkononi huku ananing'iniza funguo za gari hasa magari haya ya Toyota. Sasa sijui ni kweli huwa wanakuja na hayo magari au ni kwamba wamechongesha tu funguo ndio wanaranda nazo?
Haya na nyie ongezeeni maeneo...
Huko kuna midemu ya kichaga ipo shapeless ila viuso vizuriWeweeee umesahau kimara mwisho
Huko mkuu unapata kuku wa kienyeji mkalii,kaka milika tena akikuomba ela nyingi ni 10000Ukitaka totoz kali zisizo na gharama basi nenda Mwananyamala Kisiwani.
Utafikiri unapajua vileeeUkitaka totoz kali zisizo na gharama basi nenda Mwananyamala Kisiwani.
Utafikiri unapajua vileee