cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni fala.
Sema asante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni fala.
Sema asante.
Hili ni dume limemua kuchokoza ukumbi.
MBona hata wewe huja move on, unajua fika unaliwa na mme wa mtu.Niliachana na baba mtoto wangu,akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2,safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Achana na single maza, kwanza kufanya maisha na single maza unajishusha thamaniWapo wengi tu wamefanya maisha nao mpaka kesho, kiazi ni kiazi tu awe single mother au single single lazima atakuwa na kiraru raru tu dem wasiejielewa na mzigo bila kujali ana mtoto au la
Watu mnaigiza maisha aisee!Niliachana na baba mtoto wangu,akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2,safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Shamba la bibi limekataa kulimwa.lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2
Ni ngumu kuamini hivyo sababu nina mifano hai mingi ambayo nimeiona na imenifanya kukiri kuwa sio kila single mother ana wengeAchana na single maza, kwanza kufanya maisha na single maza unajishusha thamani
Sasa anakupa P2 za kazi gani hajui kufuatilia calendar ama?Niliachana na baba mtoto wangu,akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Ku sex tu alafu tukimaliza ananipa p2,safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.
Kuta nne zinaficha mengiNi ngumu kuamini hivyo sababu nina mifano hai mingi ambayo nimeiona na imenifanya kukiri kuwa sio kila single mother ana wenge
Una ushauri mzuri sana mda wote ,ila kuzishinda nyege labda uwe na mbadala au ukute mwanzo hukua mtu wa mbususu kihivyo.Pole Sana ila kupitia huyo X wako ebu fikirieni kuhusu kuijenga kesho iliyo bora na sio ngono tu.
maisha ni zaidi ya ngono kuna mambo yakufanya kujitoa Katika hardest moment. Mentally ,financially ,and spiritually
Na unaamini kabisa anakupenda kwasababu anakupa p2? MxiewNiliachana na baba mtoto wangu, akapata mke mwingine na ana mtoto saizi kwa uyo mke wake,lakini kila akikutana na Mimi anataka tuendelee Kusex tu alafu tukimaliza ananipa p2.
Safari hii nimeamua kumkazia Nimemwambia sitaki Nina mahusuano yangu lakini asikii siku ya tatu Leo namkatalia lakini bado anapiga piga simu kudai sex.