Mafahari wawili..

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,527
Reaction score
5,762
Mmoja anamwambia mwenzie kwamba uje kukata mauno kwenye show yangu hatujui alikua anamanisha au kejeli ..jamaa akajibu nashukuru sana kwa presentation yako ..

Ila tuingie makubaliano (am not cheap) kwamba utai market product yangu ndio mengine yanafuata ...

Jamaa upande wa pili kusikia hivyo kanyuti ....!;

Yooh pop it in!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…