Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama zipi hizo maana bufee 2560 gb 1 au za...Sajili laini ya TTCL hautojutia, kuna bando nafuu sana na zinadumu si mchezo
Funga Copper au Fiberkama zipi hizo maana bufee 2560 gb 1 au za...
kama ni mtu wa kusafiri mara kwa mara je?Funga Copper au Fiber
Boom Pack inakufaakama ni mtu wa kusafiri mara kwa mara je?
Mmh.. mkuu mbona kama sikuelewi hivi[emoji848][emoji848] Boompack, unasema ni bei nafuu, sasa ina utofauti gani na miandao mingine.Boom Pack inakufaa
Shida mnajionesha sana. Badala mle kimya kimya au muunde group telegram private nyie mnajionyesha mnaweza utafikiri hiyo mitandao hawawezi kufanya chochote.Habari, mafaili ya ha tunnel yamekwisha expire.Msaaada nifanyeje?
Nilienda kwa nia ya kusajili laini hazikuwepo. Umeshaleta laini?Sajili laini ya TTCL hautojutia, kuna bando nafuu sana na zinadumu si mchezo
Kanasaidia sana. Kama unatumia cracked windows na software kwanini usiteleze na slope?Slope is harmful
Kuna chaka moja hivi nataka nilipie mwezi mmoja nione km shiling 11500 kama kweli internet ya ni unlimitedSijutii maammuzi niliyofanya kujisajili tigo postpaid, napewa gb 80 kwa elf 60 kila mwezi.
N:B: postpaid imefutwa kujisajili kwa wateja wapya, ni maalum kwa waliojisajili tu kabla haijafungiwa.
bora hata wewe umemuelekeza maana labda anadhani sisi hatuna huo mtandaoMmh.. mkuu mbona kama sikuelewi hivi[emoji848][emoji848] Boompack, unasema ni bei nafuu, sasa ina utofauti gani na miandao mingine.
Hii hapa chini ni BoomPack data only kwa saa 24View attachment 2471470
uko slowPackage za Airtel kwa mwezi
7GB kwa 10k
22GB kwa 20k
Dk 1,500+25GB kwa 30k
elfu 11 na shilingi 500 upate unlimited ?Kuna chaka moja hivi nataka nilipie mwezi mmoja nione km shiling 11500 kama kweli internet ya ni unlimited
TTCL kwa 1000 naweza kupata mb ngap na kwa siku ngapi?Sajili laini ya TTCL hautojutia, kuna bando nafuu sana na zinadumu si mchezo