Mkuu unajua issue inategemea na talent ya mtu.., mfano ningekuwa na kipaji (potential) kama ya Messi alafu nikacheza ligi daraja la nne, au ningekuwa naweza kuimba kama Michael Jackson alafu nisitoe Single.., au Kuandika Vitabu kama Sydney Sheldon alafu nisiandike kitabu....!! Then siwezi kusema nimefanikiwa...
Its all about potential ya mtu.., na nikiweza kufanikisha hio potential isiwe kwa faida yangu tu wala isilete karaha kwa watu...
Lakini in really life most of us are average.., kwahiyo having a normal average life, bila kuwa mzigo kwa wanaokuzunguka na ku-play your part kwenye jamii (even if ni kusafisha vyoo au kuchimba makaburi) ni mafanikio katika maisha...
Sababu mafanikio hayawezi yakawa equated na monetary au status value.., bali ni ku-accomplish what you started in life.. (be it kuchimba vyoo, basi chimba vyoo vizuri na penda shughuli yako na kuleta furaha kwa wanao kuzunguka)