msuyaeric
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 842
- 1,197
[emoji2389] Viuadudu chupa 11,839,225 zenye Thamani ya Bilioni 51 kwa ajili ya wakulima
[emoji2390] Serikali inatarajia kupata mavuno ya Pamba Tani 700,000 kwa Mwaka
[emoji2391] Vinyunyizi 42,584 zenye Thamani ya Bilioni 4
[emoji2392] Tani 22,000 za Mbegu ya Pamba zimesambawa nchini
[emoji2393] Ndege 20 zisizo na rubani zenye Thamani ya Millioni 400 kwa ajili ya Viuadudu
[emoji2394] Baiskeli 2500 kwa Wakulima wawezeshaji na Pikipiki 250 kwa Maafisa ugani
[emoji2390] Serikali inatarajia kupata mavuno ya Pamba Tani 700,000 kwa Mwaka
[emoji2391] Vinyunyizi 42,584 zenye Thamani ya Bilioni 4
[emoji2392] Tani 22,000 za Mbegu ya Pamba zimesambawa nchini
[emoji2393] Ndege 20 zisizo na rubani zenye Thamani ya Millioni 400 kwa ajili ya Viuadudu
[emoji2394] Baiskeli 2500 kwa Wakulima wawezeshaji na Pikipiki 250 kwa Maafisa ugani