Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Mh mh ?? Umepiga kura lakini??
Kitambo sana mkuu, nilikuwa mtu wa pili kupiga kura maana nimeamka nikiwa na hamu ya kuchinja mtu.
Diamond Platinum amezidi kuonyesha ubora wake si kwa Tanzania tu bali Africa na ulimwengu mzima... Ubora huo unaonekana kwenye tunzo mbali mbali anazozidi kunyakua kadri siku zinavyosonga, kinachonisikitisha zaidi ni kwamba nyimbo zinazomfanya achukue tunzo hizo za kimataifa ndo zile zile ambazo zilitumiwa na KTMA ambapo aliambulia baadhi ya tunzo chache tu na zingine kwenda kwa mtu asiyestahili wakati ni wazi kabisa zilikuwa zake,... Hii ni aibu kubwa kwa KTMA natumai siku nyingine watakuwa na weledi zaidi kuliko kuendeshwa na hisia za mashabıki.
Usipate shida kwa hilo manake, hata wale wa Kiba mwenyewe wakikuta issue za Diamond, huwa reference yao ni WizKid na sio Kiba tena!Ifike hatua ss tuache kumshindanisha diamond na msanii mfa maji kama kiba, mshindanishe kiba na dimpoz, from today nisisikie huo upuuz
Usipate shida kwa hilo manake, hata wale wa Kiba mwenyewe wakikuta issue za Diamond, huwa reference yao ni WizKid na sio Kiba tena!
Wameshanyooka mkuu.Usipate shida kwa hilo manake, hata wale wa Kiba mwenyewe wakikuta issue za Diamond, huwa reference yao ni WizKid na sio Kiba tena!
Diamond Platinum amezidi kuonyesha ubora wake si kwa Tanzania tu bali Africa na ulimwengu mzima... Ubora huo unaonekana kwenye tunzo mbali mbali anazozidi kunyakua kadri siku zinavyosonga, kinachonisikitisha zaidi ni kwamba nyimbo zinazomfanya achukue tunzo hizo za kimataifa ndo zile zile ambazo zilitumiwa na KTMA ambapo aliambulia baadhi ya tunzo chache tu na zingine kwenda kwa mtu asiyestahili wakati ni wazi kabisa zilikuwa zake,... Hii ni aibu kubwa kwa KTMA natumai siku nyingine watakuwa na weledi zaidi kuliko kuendeshwa na hisia za mashabıki.