Wapendwa habari?
Jamani wadada acheni tabia ya kuharibu ndoa za watu kwenye ushirikina acheni tamaa za kijinga mnatesa familia za watu mkishaona mwanaume ana uwezo akikutongoza tu tayari mke wake na watoto waandike maumivu hii tabia ni mbaya isitoshe kila mtu ana mume wake aliyeandikiwa na Mungu.
Unapoharibu ndoa ya mwenzako kichawi kumbukeni hiyo itakuwa ni Neema ya muda ambayo kinyume matakwa ya Mungu Mwisho wa siku mnaweza kuishia kwenye matatizo zaidi wewe kama umetongozwa ishi nae tu kawaida usisalitishe kwake na kuangamiza familia yake kishirikina ni dhambi na Mungu hapendi.
Ni ushauri tu nimeguswa siku hizi wanandoa wengi wanalia shauri ya hii tabia hasa kipindi hiki waharibifu wakuu ni wasichana.
Jamani wadada acheni tabia ya kuharibu ndoa za watu kwenye ushirikina acheni tamaa za kijinga mnatesa familia za watu mkishaona mwanaume ana uwezo akikutongoza tu tayari mke wake na watoto waandike maumivu hii tabia ni mbaya isitoshe kila mtu ana mume wake aliyeandikiwa na Mungu.
Unapoharibu ndoa ya mwenzako kichawi kumbukeni hiyo itakuwa ni Neema ya muda ambayo kinyume matakwa ya Mungu Mwisho wa siku mnaweza kuishia kwenye matatizo zaidi wewe kama umetongozwa ishi nae tu kawaida usisalitishe kwake na kuangamiza familia yake kishirikina ni dhambi na Mungu hapendi.
Ni ushauri tu nimeguswa siku hizi wanandoa wengi wanalia shauri ya hii tabia hasa kipindi hiki waharibifu wakuu ni wasichana.