Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Magufuli for life,

Itabidi tubadili katiba ili agombee milele, maana tukiwaachia mafisadi chadema nchi tumekwisha

Sasa hivi wako bize kwa wazungu ulaya kujipendekeza na kuichafua nchi
Naona kwa makusudi kabisa mna provoke watu humu ndani tuongee na wakati hatuna milioni 7 za dhamana
 

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Ameingia rasmi kwenye kitabu cha kumbukumbu Duniani pamoja Ensyclopidia Britanica...Forbes tayari sasa tusubiri kwenye Holly Books
 



[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Wenzio wanalipwa na CCM kutukana kukashfu na kudhalilisha ye yote wa upinzani.

Unaweza kujiunga nao

Aah wapi sipo tayari heri nibaki Tadea huku hakuna mnyukano wa kisiasa maana huku uktaka hata kugombea uwenyekiti wa Taifa unaweza, lakini kwingine ukisikika tu unafukuzwa kama ZZK
 
Acheni kulazimisha kuna vigezo na masharti kumpata bora, mlipiga kura kwa wingi ila ushindi ule ukaenda south, bado tu mwabatuka huku?! Achaneni na twaweza hawawezi kitu wale.
 
ok... hongera sana

[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]

we want

[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…