Kijana acha kutumiwa na ibirisiLabda mungu wa maboksi.
swissme
Kwahiyo njaaa na tetemeko vimeletwa na Raisi mbona hamuelewii??Wewe sema una maslahi huko !!
Watu wamesimamishwa ajira, wamekosa mikopo chuo , wana njaa wanaambiwa wafanye kazi, wamevunjiwa na tetemeko na kuishiwa kuwaambia wasimzoee, ah wapi hakuna Mungu wa namna hiyo labda miungu wa Baali
Haaaaaaa haaaaaaaaaaaaaKweli wewe ni elimu ya hapa na pale yaani ya kuunga unga kama pogba mwenyewe!! Kwanza naskia piechidii ya pia ni ya hapa na pale!!
Nyie ni watendaji hamfai kua viongozi!! Hamna hiyo karama!!Haaaaaaa haaaaaaaaaaaaa
Kwahiyo sisi wenye elimu ya hapa na pale hatufai kuwa viongozi??
Lazima ukweli tuuusema Kweli jamaaa, kama mtu anafanya kazi vizuri lazima tumpongeze jamaaaWatu wengine mpo kusifia tu? Hayo maombi yako hujalizka kuishia kuongea na mungu wako mpaka na ss utuambie? Huna jipya na maombi yako!
Mbona mlituchagua pale mjini??Nyie ni watendaji hamfai kua viongozi!! Hamna hiyo karama!!
Tangu zamani tunafanya kazi bila kuitegemea serikali lakini si kwenye majanga meenKwahiyo njaaa na tetemeko vimeletwa na Raisi mbona hamuelewii??
Wewe ulitaka awambie wapumuzike tuuuu wala wasifanye kazi na wakati majanga yenyewe yanasababisha na mabadiliko ya hali ya hewa??
Hivi akili zenu na elimu zenu mumezipeleka wapi?? (