*JF mnaweza kuhamishia viva Magufuli viva kama mkipenda!
Vyovyote utakavyotaka kuitafsiri lkn ukweli ni kwamba Raisi Magufuli kama binadamu ni mbabe, na hii ni asili yake, watu aina yake ndiyo ambao hufanikiwa Dunia hii, jamaa anajiamini kuliko maelezo, anafungua milango iliyofungwa tena anapiga teke na kuingia!
Raisi Magufuli halii lii na kulalamika kama wengine, anajua anachokitaka na kukichukuwa, hakika kama Upinzani wangepata Kiongozi kama Magufuli sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine!
Angalia body Language, akiingia mahali anapamiliki, anachukuwa maamuzi kwa jinsi anvyoona inafaa bila ya kumuogopa mtu.
Hivyo unaweza kumchukia ukitaka lkn kuna mengi ya kujifunza ktk kwake yeye kama binadamu, nina uhakika Magufuli angezaliwa popote pale angetoboa tu, kwa maana ni mbabe na hii Dunia inataka wababe, ...