Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mtasema mengi lakini huyu jamaa anafanya vile ilitakiwa ifanywe
China ni moja ya nchi ambazo zimeendelea duniani lakini fuatilia historia mpaka kufika pale utachoka, mimi niseme tu mjomba Magufuli piga kazi watakuelewa baada ya miaka kibao ijayo
 
Kakuua ww au family yako?Huo ukatili nje ya propaganda za ufipa ukiitwa au humu ndan unaweza thibitisha bila kuacha doa la shaka?
Siyo wezi wote wako magereza, na wala siyo wauaji wote wamefikishwa mbele ya hakimu. Kuthibitishia Lumumba hakufuti mauaji. Kenge nyie. Tayari nafsi yake inatahayari analo.
 
Kwangu mimi hilo siyo tusi kama labda ulivyodhania, labda useme umeshafanikisha nini maishani mwako? Hapa Duniani unafanya nini kama siyo kusindikiza wengine

Barbarosa,inaonesha kuna kakitu umekafanikisha maishani mwako hivi karibu ndio kanakupa kiburi kakuweza ku-question others usiowajua eti "Umefanikisha nini Maishani Mwako" as if una mandate hiyo....sikujui hunijui,no one knows you,who cares?..Swali lako ni irrelevant here kwasababu hamna mtu anakujua au ananijua.Au kama wewe umegeuka mganga tujue.

Ni simple tu,kuna labda kacheo umepata humo CCM hivi karibuni kanakukereketa,na kama umefanikisha uchumi,wala hata sio kitu maana nchi nzima kuanzia serikali mpaka mfagizi sisi wote maskini.Kwenye grade za Wall Street na duniani huko,sisi wote masikini kunuka.

Huna mabavu ya kumuuliza masikini wenzio "Umefanikisha nini Maishani Mwako".Nyani haoni kundule.Who gives a shit?Who cares?
 
Angalia ZWAZWA lingine hili lililodumaza akili yake! Nadhani tunaweza kuchukua namba kwa kuwa na wananchi wengi wapumbavu kuliko nchi yeyote ile duniani.

Na wapumbavu kama huyu ndiyo mtaji mkubwa wa chama cha wahuni, wezi, mafisadi na watoa na wapokea rushwa.


 
huyu ni kiongozi wa kwanza kupendwa Sana na watu Tanzania hata na afrika kwa ujumla ni raisi anayefuata nyayo za baba wataifa, ni mchapakazi asiyependa rushwa na asiyependa watu wakionewa na kunyanyaswa,
Nampa pongezi Sana kwa hatua ya kuwaachia huru wafungwa mbalimbali siku ya uhuru sikuweza kutoa pongezi siku hile kwakuwa nilibanwa sana na majukumu Nampa bip Up sana nikiongozi mzuri mpenda watu wa rika zote matajiri na masikini wote anawapenda naomba tumuombee sana raisi wetu mtukufu ,nawasilisha
 
Unapoandika unatakiwa ujue matumizi ya herufi kubwa na ndogo, unaanzaje aya na herufi ndogo?
 
Magu ni chaguo la Mungu. Biblia inasema viongozi hutoka kwa Mungu; kuwatumikia watu wake. Wale wanaopinga hilo ujue wao ni wapinga Kristo ama Mungu. Ni maoni yangu tu. Sio lazima uamini wewe.
 
Mnao mlaumu Mhe. Rais kwa mema atendayo kwa taiga hili mlitaka afanye nini?
Awali ya yote nitoe pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi ngumu na kubwa.
Ni wazi kuwa nchi yetu ilikuwa inahitaji kiongozi maini na mahiri kwa maslahi ya nchi yetu, uongozi wake umefanya watanzania wajenge imani kuwa kwa serikali iliyoko madarakani.
Ni muda ambao Vijana na watanzania wote kuacha lawama za ajabu na kutumika na makundi ya siyo mema kwa nchi yetu, ni muda ambao Vijana tunatakiwa kujisia fahari na kujivunia kwa kuwa na uongozi una hali maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi zao, ni muda ambao Vijana kwa umoja wetu twapaswa kuwa matatizo wa mbele katika kushirikiana na serikali yetu katika
 
Mnao mlaumu Mhe. Rais kwa mema atendayo kwa taiga hili mlitaka afanye nini?
Awali ya yote nitoe pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi ngumu na kubwa.
Ni wazi kuwa nchi yetu ilikuwa inahitaji kiongozi maini na mahiri kwa maslahi ya nchi yetu, uongozi wake umefanya watanzania wajenge imani kuwa kwa serikali iliyoko madarakani.
Ni muda ambao Vijana na watanzania wote kuacha lawama za ajabu na kutumika na makundi ya siyo mema kwa nchi yetu, ni muda ambao Vijana tunatakiwa kujisia fahari na kujivunia kwa kuwa na uongozi una hali maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi zao, ni muda ambao Vijana kwa umoja wetu twapaswa kuwa matatizo wa mbele katika kushirikiana na serikali yetu katika
 
unaonekana kuwa na ujumbe mzuri brother, hebu tulia upunguze makosa.
 
Kama tungekuwa waelewa na kumbukumbu nzuri za wapi tulipo toka, wapi nchi yetu ilipo na wapi inapaswa kwenda. Nachelea kusema kwamba taifa linapaswa kujivunia kwa kuwa na Rais Magufuli.
 
Hivi umeandika nn?? Scrap... Hata kupitia tena baada ya kuandika umeshindwa? Umekuwa member leo hii nakuanza kutuma threads za ajabu hivi au umetumwa na ule upande? Jifunze kwanza JF kuna GT siyo FB.. Usiwe na kiherehere km cha kwanz.. Nyambaaaaaaf ww
 
JamiiForums mpo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…