Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Labda neno 'nuru' liwe na maana nyengine sio hii ninayoijua mimi.... Kweli ukipenda sana... Hata mwenye chongo utamuita kengeza...!!!
 
Labda neno 'nuru' liwe na maana nyengine sio hii ninayoijua mimi.... Kweli ukipenda sana... Hata mwenye chongo utamuita kengeza...!!!
magu acha uhuru wa kujieleza bila kubana watu na kuwaonea utakua umejiweka pazuri lakini hivo unavyowapoteza wengine na kuwafyatula marisasi hata mabalozi wa leo bado hawajakukubali walikuja tu kwa vile umewaalika
 
Sio uvccm ndio usalama wa taifa tena ni kila mtanzania!kweli tunaenda kuwa donor country😛
 
Anampenda sana Mwenzie
Majuzi ktk pitapita zangu kitaa, naliingia studio moja hiv, nikakutana na MTU katoka mkoa yupo studio moja mjini hapa, amekuja rekodi nyimbo ya kumsifia ndg yangu wee,

Moja na maneno yalokuwepo ktk wimbo huo ni jina LA msifiwa kuwa umetukuka baba
Wewe ni wa ajabu
Hapajawahi tokea km wewe
Mungu akupe maisha marefu, yaani nilikojoa ktk nguo
 
Ni kweli kila mtu kaguswa najua hata wewe uliyekuwa unaishi kma malaika sasa utakuwa unaishi kma shetani.
 
Hahahah sisi watanzania ni watu wa mwisho kumalizia evolution of man,tunabadilika taratibu sana,mwisho,mwisho wa dunia utukute tukiwa bado kwenye evolution
 
Hahahah sisi watanzania ni watu wa mwisho kumalizia evolution of man,tunabadilika taratibu sana,mwisho,mwisho wa dunia utukute tukiwa bado kwenye evolution

Baada ya kumsikiliza, nilimwambia kiutani km hujaitwa nyumba nyeupe sijui, si kwa nyimbo hii

Majibu yake
Yaani me nataka ukuu wa wilaya tu, au hata ukirugenzi, hakika nitafurahi,
 
Mh Rais ametengeneza kitu hatujakielewa ila at last umefika wakati kila mtanzania ni usalama wa taifa. Majambaz wote na majizi ya rasilimali yote hayana pakujificha..
.sio kwamba kila mbongo ni chizi Ila wewe na huyo mwenzako mna degree kubwa sana ya uchizi
 
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015 Rais Magufuli kwa maoni ya watanzania wengi walimpa nafasi ndogo ya kuwa mgombea urais kupitia CCM hata yeye mwenyewe aliwahi kukiri ali beep na ikaiitikia.

Kwa muda wa utawala wake Mheshimiwa Rais Magufuli amefanya mambo ambayo nina uhakika hakuna mgombea yeyote ndani ya CCM na nje ya CCM angeweza kufanya.

Ninaposema Rais Magufuli ni chaguo la Mungu ni kuwa taifa linapozidi Ufisadi na Dhuluma mwenyezi mungu huleta kiongozi kama Rais Magufuli ili aje kuondoa hiyo dhuluma na ufisadi kwenye ardhi ya Tanzania.

Madhambi yakipungua mwenyezi mungu hushusha neema leo sehemu nyingi mfumko wa bei ya chakula umeshuka kwa kiasi kikubwa.

Mheshimiwa Rais Magufuli wewe chapa kazi na ufahamu kuwa Mwenyezi Mungu yupo nyuma yako hawa wanaojiita watetezi wa Demokrasia walikuwa wanaipeleka nchi hii kubaya sana.
 
Hembu tuambie kama kweli mfumuko wa bei hamna na hali ya uchumi ni nzuri kwa nini serikali imezuia wakulima na wafanya biashara kuuza mahindi nje ya Tanzania?!!!
 
Kwanza Mh ...Rais anabid ...aje akanushe...kuhusu tuhuma za kuzaa na mke wa Mtu....maana Rais wetu tunampenda sana....maana huku mtaani wanasema kuwa Mh rais aliimpa mimba Angera kailuki......[HASHTAG]#kwaiyo[/HASHTAG]. ...sisi Mh Rais tunakupenda sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…