Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

wasalam ndugu wanajamvi

kwanza naomba kudeclare interest kuwa me n muislam.

hapa naomba kumpa taarifa mh.rais john magufuli kuwa amekuwa na kawaida ya kusema maneno ambayo kwenye uislam n kufuru

maneno hayo amekuwa akiyarejea mara kadhaa yan zaid ya mara moja nmemsikia akiyatamka.

simlaumu kwa kuwa yeye sio muislam ila nawalaum mashkh ambao hua anakuwa nao karib n kwann hawamfahamish kuwa hatakiw kusema hivo

maneno hayo n kuwa "WAKRISTO WAKEMEE KWA JINA LA YESU NA WAISLAM WAKEMEE KWA JINA LA MUHAMMAD"

jambo hilo limekuwa n upotoshaji ktk din ya kiislam maana waislam hawakemei wala kuomba kwa jina la muhammad kwan ukifanya hivo n shirk tena kubwa sana

nadhan nia yake huwa mzur ila kwa kuwa sio muislam na uislam haujui ilipaswa mashkh wamfahamishe kuwa anakosea ila naona hawafanyi hivo

nimeona nitmie njia kumfikishia ujumbe huu mh.rais kuwa akita kubalance kwenye speech zake asiseme tuombe ama tukemee kwa jina la muhammad bal akitaka kusema kwa upande wa waislam aseme kwa jina la mwenyez mungu ama Allah(الله)

hapo atakuwa anatutendea haq sisi waislam maana sisi kuomba kwajina la muhammad unakuwa umefanya shirk

nakuomba mh.rais azingatie hili maana limekuwa likiwaumiza waislam wengi ila wanakosa pa kusemea.

me si mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote ila n mtanzania mwenye kusifia mazur na kukosoa mabaya mara yanapotokea

hivyo ushaur wangu usifunganishwe na itikad ya chama chochote kile.
 
Tupo nae hapa nitamwonyesha ujumbe wako, bila shaka ataufanyia kazi, ahsante sana kwa hekima zako.
 
Watanzania tunataka kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025. Juhudi unazozifanya za kuimarisha uchumi na kuhimiza uchumi tegemezi utaleta tija kufikia dira ya taifa 2025.
Nakuomba; uendelee kutekeleza wajibu wako kama ulivyoanza na uendelee kuongeza juhudi katika kuwawezesha wazawa kutumia fursa zilizopo kwa ajili ya kujiletea maendeleo. Kelele nyingi zinazoendelea ni kutokana na wanasiasa mchwara kukosa ajenda za msingi za kuwakomboa watanzania katika dimbwi kubwa la umasikini. Tunaona juhudi zako za kufufua ushirika na mashirika ya umma; kuimarisha miundombinu na nishati; kuweka mazingira shirikishi ya kufanya biashara na mengine mengi ambayo yanatija katika kufikia uchumi wa kati.
Wananchi wanataka maendeleo sio malumbano ya kisiasa. Hila za kisiasa haziwezi kuzaa matunda mema. Waache wanasiasa mchwara waendelee na porojo zao; wewe piga kazi ulizotumwa na wananchi wasikukatishe tamaa.
Nakuombea wewe; familia yako na serikali uliyoiunda iendelee kuwa imara katika kututumikia sisi watanzania bila kujali dini zetu, itikadi zetu, imani zetu, makabila yetu na jinsia zetu. Mungu ibariki serikali ya awamu ya tano. Amina.
 
Kweli yupo njia sahihi, kama mtu unaweza kuficha 1.5trillioni na isijulikane ilipo basi huyu kiboko
 
Hadi muda huu sijaona jambo alilofanya lenye tija kwa taifa labda kakinufaisha chama chake kwa kununua wapinzani deni la taifa linakuwa maradufu,matibabu ya nje huko hatar tupu, ufisadi bado upo wa kutisha miradi inazinduliwa ya jk, labda kajitahid kuimarisha matawi ya mabenk na kuzindua
 
Ila asikuambie mtu demokrasia ni tamu sana.
Yani kila mtu aseme weee mwisho mwenye mamlaka anafanya yake, don't u see u don't have to be upset?
 
K
Kwani wewe kwa uelewa wako MIPANGO ya serikali inakufa kutokana na rais mpya kaja. Kuna mipango ya muda mrefu na muda mfupi. Mengi ya muda mrefu ni continous. Hata JK aliendeleza mengi tu ya Mkapa.
 
Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.
 
namba 3 hta ww ungefanya tunataka kwanza risiti hyo mengine ni kazi yake kwani aliomba kazi ya nini ingawa alisukumizwa tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…