Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Sio makavu live shemeji ajisemee mwenyewe tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
macavu laivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio makavu live shemeji ajisemee mwenyewe tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
macavu laivu
Kama wewe ni mzembe utakufa tu. Maana hamna namnaMaendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu. Ukweli ni kwamba watu wengi wana hali mbaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malipo yake ni watanzania kuomba mungu ampende zaidi kabla 2020 ili akaongoze maraika huko wamsukumizie kwenye moto huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya kachukue buku 7 yako halafu ujisemee wewe cha kumlipa sio utuingize na wengine
Kweli kabisaaa.Sio makavu live shemeji ajisemee mwenyewe tu
Watanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
Ndo madhara ya mapato hewa kupika data sasa kwenye Vitabu hali halisi 1.5 haionekani na majibu hawana, huwezi pika hewa kila sehemu. Wangesema mapato halisi haya ya 1.5 yasingekuwepoKweli kabisa... maana
Bilioni 1500 yeye
TRA mapato hewa yeye
Wasubiri awamu ijayo hii ya vitu sio watu.Kama we hukupata maendeleo ya watu enzi za jk basi ni uzembe wako
Kunyoosha au inawanyoosha,kasome ripot ya CAG ni awamu ipi yenye hati chafu na madudu kila mahali.Dili zinapigwa kimya kimyaEndelea kunyosha nchi mh...tunakuelewaa
Kweli kabisa kama anataka cha kumlipa na hana cha kumlipa ampleleke mkewe.Haya kachukue buku 7 yako halafu ujisemee wewe cha kumlipa sio utuingize na wengine
Sio ishu anaweza ingia yeyote na asiheshimu,mpya ni sawa,kuifuata ni kitu kingine pia anaweza akagoma kuachia Madaraka akitokea mwenye dhamira hioWatanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu Sana.
faler weweWatanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
China hakuna ufisadi wala hati chafu kule elewa hakuna wa kuchezea hela za umma kifo kinamhusu hata awe kiongoziHata Mao tse Tung wakati wa kuintransform China alipingwa sana, lakin ndo kaileta china hapa ilipo.
MJOMBA WEWE PIGA KAZI.
Watanzania tutakulipa nini?
Reli ya kisasa... wewe
Kinyerezi two... wewe
Bombardier....wewe
Kuhamia Dodoma...wewe
Ubungo interchange project....wewe
Bomba la gesi.....wewe.
ukuta mererani ...wewe
Fly over....wewe
"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"
Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685