Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Malipo yake ni watanzania kuomba mungu ampende zaidi kabla 2020 ili akaongoze maraika huko wamsukumizie kwenye moto huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata Mao tse Tung wakati wa kuintransform China alipingwa sana, lakin ndo kaileta china hapa ilipo.
MJOMBA WEWE PIGA KAZI.
 
Atalipwa chato international airport na atapewa BASHITE ili amsaidia kupiga diri ktk hiyo miradi yote ya kifisadi.....mbwa kabisa anaharibu nchi
 
Kubwa la majizi hili linastahili kuwa jela kwa miaka mingi sana kwa ujambazi na ufisadi alioufanya dhidi ya Watanzania



Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kweli kabisa... maana
Bilioni 1500 yeye
TRA mapato hewa yeye
Ndo madhara ya mapato hewa kupika data sasa kwenye Vitabu hali halisi 1.5 haionekani na majibu hawana, huwezi pika hewa kila sehemu. Wangesema mapato halisi haya ya 1.5 yasingekuwepo
 
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu Sana.
Sio ishu anaweza ingia yeyote na asiheshimu,mpya ni sawa,kuifuata ni kitu kingine pia anaweza akagoma kuachia Madaraka akitokea mwenye dhamira hio
 
Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685
faler wewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata Mao tse Tung wakati wa kuintransform China alipingwa sana, lakin ndo kaileta china hapa ilipo.
MJOMBA WEWE PIGA KAZI.
China hakuna ufisadi wala hati chafu kule elewa hakuna wa kuchezea hela za umma kifo kinamhusu hata awe kiongozi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watanzania tutakulipa nini?

Reli ya kisasa... wewe

Kinyerezi two... wewe

Bombardier....wewe

Kuhamia Dodoma...wewe

Ubungo interchange project....wewe

Bomba la gesi.....wewe.

ukuta mererani ...wewe

Fly over....wewe

"Hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni"

Kura yangu 2020 ni kwa Dk.John pombe Joseph Magufuli.View attachment 754685

Mpe ma.vi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom