Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.
Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.
Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....