Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.

Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.

Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....
Tunaambiwa kuwa Nyerere hakuwa akipenda sifa za kijinga. Sasa sijui awamu ya 5 kama wanaendekeza ushauri wa kijinga.
 
Kwa upuuzi huu kuendelea kwa tanzania hii labda mpaka tufe wote tuliopo sasa.au wapuuzi kama huyu aloleta hii hoja mfu namna hii waishe wote.
 
Hili wala sio wazo lako, hii ni mipango ya jiwe/kichaa na watu wake. Wameshafanya maamuzi wewe umepewa tu kazi ya kulileta ili kupima upepo
 
Hapana. Bora tutumie dolari tu kuliko yenye picha ya huyo malaika wa shetani.
Oh God, kwa nini nimecomment sasa!!??
 
Noti itakayowekwa picha ya jiwe naahid sintoitumia, kama umetumwa kupima upepo mwambie atatumia yeye na familia yake
 
Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.

Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.

Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....
Kule Arumeru aliyehusika kuwahonga madiwani wa chadema ili wahamie ccm, kisha akapandishwa cheo ni kwa sababu picha za JPM haikuwepo kwenye noti?
 
Back
Top Bottom