GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwangu mimi,J.P.M ni Rais wangu wa nguvu.Sawa ana baadhi ya makosa kama mliyonayo baadhi yenu,ila n lipi,umemshauri ewe mtanzania (unaemponda) au umetamka tatizo lako akashindwa kulitatua
watanzania #TUNAYUMBA,this man anapractice scientific politics wala Hana propaganda hata kidogooo...
#ipo siku MTAMMISS... nawambien.... maana kakusanya vya kutosha,na huyo atakae fata a”ki”wa mlaji,mtakubali....
Pandikizi la uharibifuThe best man Kwa chuki,visasi na kuharibu uchumi na umoja wa taifa letu.
Naunga mkono hojaKwangu mimi,J.P.M ni Rais wangu ana baadhi ya makosa kama mliyonayo baadhi yenu,....
RubbishKwangu mimi,J.P.M ni Rais wangu wa nguvu.Sawa ana baadhi ya makosa kama mliyonayo baadhi yenu,ila n lipi,umemshauri ewe mtanzania (unaemponda) au umetamka tatizo lako akashindwa kulitatua
((((watanzania #TUNAYUMBA))))
#ipo siku MTAMMISS... nawambien.... maana kakusanya vya kutosha,na huyo atakae fata a”ki”wa mlaji,mtakubali....
RubbishNaunga mkono hoja
P
Sawa hilo sio issue....yoyote anaweza akaagiza ndege kama hiyo without andiko mradi...issue kubwa pesa kaitowa wapi kategeneza vyanzo vipya kupata hiyo pesa ya kununulia ndege..kama ni vyanzo ni vile vile...labda tumpe pongezi za kua namaamuzi magumu ya kuingia biashara nyeti bila strategic and master plan.Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari zaidi, soma =>Toka kwa Wananchi: Kero na Vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa...
Huyu mzee nimemfuatilia tangu ameingia madarakani ni zaidi ya balaa...Miradi inayotekelezwa na Serikali yake haijawahi tokea nchini.
Hv unakumbuka wakati anaingia madarakani ? Alipoanza kutumbua kwa kwenda mbele. Akarudisha nidhamu katika Ofisi za umma. Ubadhirifu wa mali za umma kwa kiasi kikubwa ukakoma. Fedha za Magufuli zikaanza kuonekana za moto(nomaaaa)
Phase 2 ikafuata kwa utekelezaji wa miradi ya viwango na kwa ya Speed ya Mwanga. Yaani ni mwendo wa bandika bandua. Akipiga Fly over Tazara kule Ubungo Flyover inaendelea. Akipiga miradi ya Afya kule anapiga miradi mikubwa ya elimu. akinunua ndege kubwa na za kisasa kule anaibana mifisadi hadi inatamani ikimbie nchi (Nyoosha mzee mwenyewe)
Katika historia ya nchi hii haijawahi tokea kupata Rais mtekelezaji wa namna hii. Nasema haijawahi tokea asilani katika historia ya Tanzania. Wapingaji hawatakosekana. Wataongezeka tu...Ni mwendo wa kuongeza speed...wasiturudishe nyumaa..Kaza mwendoo Mzeeeeeeee
Sawa kachukue buku saba yakoHuyu mzee nimemfuatilia tangu ameingia madarakani ni zaidi ya balaa...Miradi inayotekelezwa na Serikali yake haijawahi tokea nchini.
Hv unakumbuka wakati anaingia madarakani ? Alipoanza kutumbua kwa kwenda mbele. Akarudisha nidhamu katika Ofisi za umma. Ubadhirifu wa mali za umma kwa kiasi kikubwa ukakoma. Fedha za Magufuli zikaanza kuonekana za moto(nomaaaa)
Phase 2 ikafuata kwa utekelezaji wa miradi ya viwango na kwa ya Speed ya Mwanga. Yaani ni mwendo wa bandika bandua. Akipiga Fly over Tazara kule Ubungo Flyover inaendelea. Akipiga miradi ya Afya kule anapiga miradi mikubwa ya elimu. akinunua ndege kubwa na za kisasa kule anaibana mifisadi hadi inatamani ikimbie nchi (Nyoosha mzee mwenyewe)
Katika historia ya nchi hii haijawahi tokea kupata Rais mtekelezaji wa namna hii. Nasema haijawahi tokea asilani katika historia ya Tanzania. Wapingaji hawatakosekana. Wataongezeka tu...Ni mwendo wa kuongeza speed...wasiturudishe nyumaa..Kaza mwendoo Mzeeeeeeee
Huyu mzee nimemfuatilia tangu ameingia madarakani ni zaidi ya balaa...Miradi inayotekelezwa na Serikali yake haijawahi tokea nchini.
Hv unakumbuka wakati anaingia madarakani ? Alipoanza kutumbua kwa kwenda mbele. Akarudisha nidhamu katika Ofisi za umma. Ubadhirifu wa mali za umma kwa kiasi kikubwa ukakoma. Fedha za Magufuli zikaanza kuonekana za moto(nomaaaa)
Phase 2 ikafuata kwa utekelezaji wa miradi ya viwango na kwa ya Speed ya Mwanga. Yaani ni mwendo wa bandika bandua. Akipiga Fly over Tazara kule Ubungo Flyover inaendelea. Akipiga miradi ya Afya kule anapiga miradi mikubwa ya elimu. akinunua ndege kubwa na za kisasa kule anaibana mifisadi hadi inatamani ikimbie nchi (Nyoosha mzee mwenyewe)
Katika historia ya nchi hii haijawahi tokea kupata Rais mtekelezaji wa namna hii. Nasema haijawahi tokea asilani katika historia ya Tanzania. Wapingaji hawatakosekana. Wataongezeka tu...Ni mwendo wa kuongeza speed...wasiturudishe nyumaa..Kaza mwendoo Mzeeeeeeee
Usidanganye watu hapa, Watumishi wa umma wanalia na Maslahi duni, Wastaafu wanalia, ajira hakuna, Uchumi haueleweki maduka ya biashara yanafungwa, madawa mahospitslini halo si nzuri. Watu wanapotea na kutekwa na wahisika wa matukio hawajulikani.Huyu mzee nimemfuatilia tangu ameingia madarakani ni zaidi ya balaa...Miradi inayotekelezwa na Serikali yake haijawahi tokea nchini.
Hv unakumbuka wakati anaingia madarakani ? Alipoanza kutumbua kwa kwenda mbele. Akarudisha nidhamu katika Ofisi za umma. Ubadhirifu wa mali za umma kwa kiasi kikubwa ukakoma. Fedha za Magufuli zikaanza kuonekana za moto(nomaaaa)
Phase 2 ikafuata kwa utekelezaji wa miradi ya viwango na kwa ya Speed ya Mwanga. Yaani ni mwendo wa bandika bandua. Akipiga Fly over Tazara kule Ubungo Flyover inaendelea. Akipiga miradi ya Afya kule anapiga miradi mikubwa ya elimu. akinunua ndege kubwa na za kisasa kule anaibana mifisadi hadi inatamani ikimbie nchi (Nyoosha mzee mwenyewe)
Katika historia ya nchi hii haijawahi tokea kupata Rais mtekelezaji wa namna hii. Nasema haijawahi tokea asilani katika historia ya Tanzania. Wapingaji hawatakosekana. Wataongezeka tu...Ni mwendo wa kuongeza speed...wasiturudishe nyumaa..Kaza mwendoo Mzeeeeeeee