GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwangu mimi,J.P.M ni Rais wangu wa nguvu.Sawa ana baadhi ya makosa kama mliyonayo baadhi yenu,ila n lipi,umemshauri ewe mtanzania (unaemponda) au umetamka tatizo lako akashindwa kulitatua
watanzania #TUNAYUMBA,this man anapractice scientific politics wala Hana propaganda hata kidogooo...
#ipo siku MTAMMISS... nawambien.... maana kakusanya vya kutosha,na huyo atakae fata a”ki”wa mlaji,mtakubali....
Kwanini huu ' Uzi ' wako usingeuanzisha na ile ' ID ' yako tunayoijua wengi na pia tuliyoizoea Mkuu hadi umeamua uje ujifiche na hii? Unaogopa nini na kwanini hujiamini halafu ukizingatia Wewe ni Mtoto wa ' Kiumeni ' kabisa?