Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hili nadhani pia itakuwa watu wamelisahau.Songa mbele baba sisi tuko nyuma yako...
 

Acha ujinga wa ku generalise, hao vijana wengi waliosema wanakubaliana na utendaji wa jiwe kina nani, no research no right to speak, sheria ya takwimu imeshapita sasa wewe hizo data umepata wapi?????? Tunaomba passport yako tuchunguze uraia wako
 
Huku Mwenge imekuwa ni kawaida kabisa ukipata umeme leo kesho unakosa siku nzima. Huu ni mgao kabisa ila wa kimyakimya
 
Huku ninakokaa kila wiki siku mbili au Tatu hatuna umeme siku nzima. Labda kama unakaa Ikulu au hospital ya Taifa. Cha ajabu zamani hata maji yalikuwa hayakatiki siku hizi asubuhi mpaka mchana no water ajabu Sasa sijui tunaenda backward au
 
Huku ninakokaa kila wiki siku mbili au Tatu hatuna umeme siku nzima. Labda kama unakaa Ikulu au hospital ya Taifa. Cha ajabu zamani hata maji yalikuwa hayakatiki siku hizi asubuhi mpaka mchana no water ajabu Sasa sijui tunaenda backward au
Anakaa ikulu huyo. Halafu suala la maji siku hizi nalo silielewi. Unakuta zinapita siku mbili maji hayatoki tena bila taarifa kama kuna bomba wanatengeneza au vipi. Haswa haswa siku za weekend
 
Mgao wa umeme (V)
Barabara za lami (V)
Uwajibikaji (V)
Ndege mpyaa (V)
Reli mpyaa (V)
Viwanja vya Ndega (V)
Elinu Bila Malipo (V)
Mikopo ya wanafunzi elimu ya juu (V)
Migogoro ya Ardhi (V)
 
Afadhali mnaoishi mjini, cc huku kukatika ni kawaida tulishazoea ila hatusemi tu
 
Mkuu muulize mtu yeyote anayekaaa tabora. hata leo hii ni kama kuna mtu yupo kwenye switch ,akijisikia anazima,akijisikia anawasha. Mgao ni kimyakimya
 
mkuu since Mh magufuli aingie lini kulikuwa na mgao wa umeme
Kwahiyo hayo majenereta yanayounguruma Kariakoo na Mbagala ni muziki wa Bongofleva! Usipende kuwasemea usikoishi Tanzania ni kuwa, kama lakini yako ni ya hospitali unabahati.
 
[emoji90]
 
Cjui unaishi nchi gani ndugu.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…