Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kiswahili hujui, kuandika hujui. Unachojua ni upashkuna tu!
 

usitoneshe vidonda vya watumishi.acha kuwapa matumaini ambayo hayapo.kwani maraisi wengine waliokuwa wanaongeza mishahara walikuwa hawana mipango mipana ya maendeleo?tuache kuwabeza viongozi waliotangulia kuwa hawakufanya mambo ya maana.acheni tabia hiyo.someni historia ili mpime kazi zilizofanywa na watangulizi wetu.kila kiongozi alioplay part yake.mishahara iko kisheria pia nyongeza za mishahara iko kisheria hivyo tusiwanyanyase watumishi kwa kuvunja sheria kwa sababu tu hawana watetezi.sheria zifuatwe tuache siasa za hovyo za kuwakandamiza watumishi.
 
Kwanini mishahara iongezwe kwa Tija IPI?
Ngoja Uzalishaji uongezeke kwanza,Stiegliers gorge Umeme uzalishwe mapato yaongezeke na Watalii waongezeke at least 2020/2021.
Namuunga Mkono Rais Dr.Magufuli kwa Hili,sio kuongeza Tsh 20,000 Au 10,000.bora achelewe aje kuongeza kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mwaka ni mwanzo wa kipindi kile cha uchaguzi..
Ni lazima akili zitakuwa nje ya kichwa!!
 

Mkuu shule za kata zimekuharibu.. Yaani kuna misemo inaitwa Metaphor.. Hadhira hupewa jukumu lenye "parable" ili kukidhi fikra halisi kwny muktadha kamili. Yamkini Hutakiwi kubeba kama ulivyo la sivyo utakuwa muhanga wa lawama. Hii inaifanya hadhira yenye IQ kuelewa upesi pasipo kupewa mifano ya kila aina yenye maana mustakabali bali muhtasari hufanywa na ubongo wa hadhira yenyewe. Kutanahabisha mkabala au hasi ya "die trying or die poor" ni kama kuongea kilekile ukidhani fasihi yake si timilifu kumbe wewe mwenyewe umeshindwa kuutimiza ubongo wako.
 
Afadhali mkuu umesema kima cha chini kitakuwa milioni 3?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tuombe iwe kweli ....maana watumishi wamesoma kila namba
 
shule za kata zimeanza mwaka upi? Ndo maana nakwambia bado u kijana majukumu machache.
Tafsiri sahihi ni Ile unayoitumia kukupa wewe mafanikio na si vinginevyo. Kiwango cha uelewa hakipimwi kwa terminologies na tafsiri, kinapimwa kwa mafanikio yako binafsi. Na kwa tafsiri yangu If you die trying ni umefeli sema umefeli ukiwa unapambana.
Mkimbiaji aliyeshika namba ya mwisho Ila anapambana kumaliza mashindano ataitwa majina mengi mazuri kama mpambanaji, shujaa n.k lakini si mshindi. Anyway let's agree to disagree. Kwa tafsiri na perception zako you stand to be correct.
 
Watumishi wa umma nchi hii ni wapumbavu sijawahi kushuhudia.
 
Hakuna kitu kama hicho hawa ni wafanyakazi wanaotamani ndoto zao zitimie.
 
Mhe. Rais tunakuomba sana kwa HESHIMA na TAADHIMA utukumbuke na sisi WASTAAFU. Kipato chetu ni kidogo sana kuweza kumudu gharama za maisha. Wengi wetu tunapata kama Tshs.200,000 kwa mwezi. Usitusahau Mhe. Rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…