Lete vitu vinavyosomeka...tatizo lako nilishakwambia ni #copy and peste kazi yako ni kupakua tu kila unachokutana nacho.
duh huyu jamaa sikumpigia kura sababu ya kile chama chake kilichojaa watu wenye roho mbaya lakini,Iam in awe of him kwa kweli
God bless him na amlinde
Cinema
Nabii hasifiki kwao
Nimeamini Tanzania inafuatiliwa hadi huku Europe jamaa ni breaking news