Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Rais JPM ana huruma sana na huruma yake imewagusa mamantilie nchi nzima, machinga nchi nzima, wakulima, bodaboda, na makundi mengine mengi wachache wanaolalamika ni vijana waliolelewa kwa kudekezwa wanaoamini kwenye miujiza ya kufanikiwa. Mheshimiwa atawasumbua sn maana wakiongeacho mitandaoni tofauti na uhalisia kwenye field
Mpakeni tu mafuta kwa mgongo wa chupa, siku tukidai iko wapi bunduki iliyomdhuru Lissu msije mkamkimbia!Rais JPM ana huruma sana na huruma yake imewagusa mamantilie nchi nzima, machinga nchi nzima, wakulima, bodaboda, na makundi mengine mengi wachache wanaolalamika ni vijana waliolelewa kwa kudekezwa wanaoamini kwenye miujiza ya kufanikiwa. Mheshimiwa atawasumbua sn maana wakiongeacho mitandaoni tofauti na uhalisia kwenye field
Naunga mkono hojaAisee pascal kama kuna mwanafamilia wako huwa anapita humu kusoma comments na bandiko zako sijui wanakuchukuliaje!
Hata mimi naunga mkono hoja kwenye haki za binadamu nikikumbuka matukio yake yanayoonyesha haki za binadamu zilitendeka na sirikali ilifanya jitihada za kuonyesha haki za binadamu zilitendeka:-Naunga mkono hoja
P
Duh
Nimetukana mpaka wazungu kwenye train run hour hapa wamenipepea!
Jiwe vs Haki za Binadamu vs Demokrasia????
Niggaz are you serious?
Fvck outta here!
Aisee pascal kama kuna mwanafamilia wako huwa anapita humu kusoma comments na bandiko zako sijui wanakuchukuliaje!
Tunamuona yuko powerfull kwamba anaandika kitu wajingajinga wanatoa povuAisee pascal kama kuna mwanafamilia wako huwa anapita humu kusoma comments na bandiko zako sijui wanakuchukuliaje!
Achana na kiingereza, haukiwezi in short (shot).Life is too shot....
huku kidodi hatujuwi train run hour...
Utajuaje "train run hour" na uko kwenye shithole country ambapo watu wanakula funza ili waishi?
Do you know how much ironical you sound?
Mnajisifu mko Tanganyika mpya ya rehema na utukufu na wakati huo huo hakuna hata "train run hour"??
Hivi wewe ni ndondocha?
Utajuaje "train run hour" na uko kwenye shithole country ambapo watu wanakula funza ili waishi?
Do you know how much ironical you sound?
Mnajisifu mko Tanganyika mpya ya rehema na utukufu na wakati huo huo hakuna hata "train run hour"??
Hivi wewe ni ndondocha?
Nonsense!Ulikozaliwa unaitwa shithole country.... Haya girlfriend wa wazungu tukana kwenu.... hujakosea.... wakatikie kiuno na jisahaulishe kijijini kwenu....
Ukipata basha mzungu nawewe unakuwa mzungu
Dogo sindanno imekuingia vizuri, kubali tu hata kama ni nyumbani ccm wamepafanya paonekane shitholeUlikozaliwa unaitwa shithole country.... Haya girlfriend wa wazungu tukana kwenu.... hujakosea.... wakatikie kiuno na jisahaulishe kijijini kwenu....
Ukipata basha mzungu nawewe unakuwa mzungu
Unalia lia nini? unanililia mimi ni mama'ko?ulivyokuwa jinga ukaamini niko Kidodi na ukaanza kujamba mashuzi yako...
tumetembea sana duniani na sasa siko tz kima we....
ila acheni show off za kishamba na kudharau home....
english ya kuokota mwenyewe unajiona uko juu...
Ushamba shida
Huu ni uzi wa ajabu kabisa, sioni uhusiano kati ya HAKI ZA BINADAMU na yale yalio andikwa hapa. Labda mleta mada anipeleke shule. Nimeandika kuhusu mantiki ya uzi tu.Hata mimi naunga mkono hoja kwenye haki za binadamu nikikumbuka matukio yake yanayoonyesha haki za binadamu zilitendeka na sirikali ilifanya jitihada za kuonyesha haki za binadamu zilitendeka:-
1.Kuuliwa kwa BEN SAANANE kwa kuhoji Phd ya UNCLE.
2.Kupigwa Risasi Tundu Lissu kwa sababu ya Usaliti baada ya ANKALI KUTREPU simu zake.
3.Kesi ya Erick Kabendera inavyoondeshwa hdi Ubalozi wa UK/USA walipongeza jinsi sirikali inavyotenda haki.
4.Kuuwawa kwa Azory Gwanda baada ya kutaka kutoa uchunguzi wa vifo MKIRU.
5.Ripoti ya kutekwa kwa Mo na Raphael zilionyesha Rafael alijiteka na MO kutekwa na Dereva wa TAX.
Rais JPM ana huruma sana na huruma yake imewagusa mamantilie nchi nzima, machinga nchi nzima, wakulima, bodaboda, na makundi mengine mengi wachache wanaolalamika ni vijana waliolelewa kwa kudekezwa wanaoamini kwenye miujiza ya kufanikiwa. Mheshimiwa atawasumbua sn maana wakiongeacho mitandaoni tofauti na uhalisia kwenye field
Nonsense!
Dogo sindanno imekuingia vizuri, kubali tu hata kama ni nyumbani ccm wamepafanya paonekane shithole