Tirion 1 .97 kwa mwezi TRA makusanyo sio haba mishahara utapenda kweli..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ulaghai haukubariki aiseeeeHii ni siri tena siri nyeti kabisa ni mwaka wa watumishi kucheka nq kufutahia matunda ya kujituma kwao
Baada ya kuunganisha nchi na kuibua viwanda (ukijenga ukamaliza pesa inatulia) sasa ni zamu ya watumishi wa umma kupiga pesa kama kawaida kweli jpm alijipanga
Kuna habari kuwa bajeti ya mwaka huu itajaa ongezeko kubwa la mishahara na kuajili watumishi wapya wa kutosha vijana wengi waliomaliza vyuo sasa mkae mkao wa kula maisha ndio haya
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu ni shida kwa nchi hii na ustawi wetu.Hawana Sera wala itikadi yoyote ya kuwaletea Watanzania maendeleo.Wamebobea kuhadaa wananchi kwa slogans nzuri nzuri kila wakati wa uchaguzi,wakiingia madarakani wana kiburi cha kuangamiza wanaowakosoa/wanaohoji utendaji wao.CCM huwa mnatuona watanzania hatuna uwezo wa kufikiri
Haya ni matokeo ya kukosa mlo kamili. Ukipata mlo mmoja kwa siku tena usio kamili lazima uwezo wa kufikiri utakuwa mdogo.Hii ni siri tena siri nyeti kabisa ni mwaka wa watumishi kucheka nq kufutahia matunda ya kujituma kwao
Baada ya kuunganisha nchi na kuibua viwanda (ukijenga ukamaliza pesa inatulia) sasa ni zamu ya watumishi wa umma kupiga pesa kama kawaida kweli jpm alijipanga
Kuna habari kuwa bajeti ya mwaka huu itajaa ongezeko kubwa la mishahara na kuajili watumishi wapya wa kutosha vijana wengi waliomaliza vyuo sasa mkae mkao wa kula maisha ndio haya
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
TUNATEKELEZA:
Vijiji zaidi ya 8000 kati ya vijiji 12000 nchini Tanzania vimefikiwa na umeme wa REA.Ikumbukwe kuwa mwaka 2015 ni vijiji 2000 pekee ndio vilikuwa vimepata umeme
Hivyo ndani ya miaka minne ya mheshimiwa Rais Magufuli madarakani vijiji zaidi 6000 vimepelekewa umeme.
Huu ni utekelezaji wa ahadi uliotukuka.
Ikumbukwe wakati Rais Magufuli anaingia madarakani vibaraka wa mabeberu pamoja na wapinga maendeleo walipeleka umbea ughaibuni na hatimaye Serikali kunyimwa fedha za MCC zilizokuwa zitumike kupeleka umeme vijijini.
Serikali madhubuti ya CCM chini ya Babalao Magufuli ilijidhatiti na kuendelea kutumia fedha za ndani na hatimaye leo hii tunashuhudia matokeo chanya na ya haraka.
VIVA MAGUFULI VIVA CCM YA MAGUFULI
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!