mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Kwa hiyo ulitaka wafunge mipaka au wakae lockdown kila siku?Leo yataongea matukio ambayo ni matunda ya kua na mtu Kama Rais wetu Dunian Dr John pombe magufuli
Hongera kwake Mh Rais MagufuliView attachment 1459910View attachment 1459911View attachment 1459912View attachment 1459913View attachment 1459914View attachment 1459915View attachment 1459916View attachment 1459917View attachment 1459918
Sent using Jamii Forums mobile app
Hwa ni wapumbavu kutoka lumumba!!Muwe na akili hata za kuvukia barabara basi yaani nchi zilijiwekea malengo yao nyie mnakuja na ujinga wenu wa Lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Muwe na akili hata za kuvukia barabara basi yaani nchi zilijiwekea malengo yao nyie mnakuja na ujinga wenu wa Lumumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ulitaka wafunge mipaka au wakae lockdown kila siku?
Hivi nyie nyumbu/wapumbavu wa Lumumba mna akili?
Dunia inatakiwa kukubali kuishi na huu ugonjwa wakati jitihada za kutafuta chanjo zinaendelea, Tahadhari ni Muhimu lakini ni vigumu kumfungia binadamu wakati wote.
cc: Wazee wa Lockdown.
Yanashindwa kuelewa kuwa nchi zilijiwekea malengo ya phases na ndio wanaaanza kuzifungua nchi zao taratibu wao walijua eti lockdown ni za milele yaani yanamdanganya sana mzee wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima mkaeNdipo akili yako ilipoishia n mnajiona wajanja kwakuwa mmepata mtu mshamba mnajidanganyia tu [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Who na wao walijiwekea malengo Yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanashindwa kuelewa kuwa nchi zilijiwekea malengo ya phases na ndio wanaaanza kuzifungua nchi zao taratibu wao walijua eti lockdown ni za milele yaani yanamdanganya sana mzee wao
Sent using Jamii Forums mobile app