Watanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli
Maneno ya unafiki tu haya na hayana polite. Mbona hajawahi kuongelea wizi wa nyumba za Serikali, Kivuko cha Bagamoyo, Meli ya Samaki, uwanja wa Chato wa ndege?Watanzania, ni mambo ya ajabu yamefanyika katika nchi hii, ya ajabu! Ninaposema ya ajabu... mtu alikua yuko radhi kuuza maisha ya watanzania kwa pick-up
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais John Pombe Magufuli
Ni awamu za CCM ndo zilimefanya hayo... Hata awamu hii zile 1.5T hazijulikani ziliko
Hapa umeingiza ushabiki wako wa kisiasa zaidiManeno ya unafiki tu haya na hayana polite. Mbona hajawahi kuongelea wizi wa nyumba za Serikali, Kivuko cha Bagamoyo, Meli ya Samaki, uwanja wa Chato wa ndege?...
Kijue chama, zijue Sera na ujue uongozi mkuu, na uweze kichambua na kutofautisha nyakati
Wewe ndio usiyejua hizo trillion ziliko, wenzio wanajua vizuriii..
Nini kitatokea?Chama kisichoweza kudhibiti viongozi wake waandamizi lazima kizalishe upupu. ......... subiri na huyu aondoke.
Busara wengine hawana..... Wengine wanayoAnazo mmeo mbowe ananywea konyagi
Pitia ulichoandika.Hahah ulienda kuzitafuta ukazikosa?....
Wewe upo kijijini hapo?Wana JF
Wale waliokuwa wameweka vibanzi kwenye macho Hulu wakitetea debate yenye ubishi na utata kwamba urban area is better than rular Area , sasa DK. Magufuri kavibadirisha vijiji kuwa na kila kitu...
Anajifunza mkuu msamehe bure.Rular area ndo nini?
Typing error bro nalekebishaRular area ndo nini??
Rular area ndo nini??