Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Ndugu zangu Watanzania mimi sina chama cha siasa.
Ila ukiangalia huyu Magufuli ni kama Mungu aliipatia Tanzania zawadi baada ya Nyerere.
Huyu Baba anavyohangaika kuwatumikia Watanzania hadi unaweza kutoa machozi, amewanyanya Watanzania wote kutoka chini na sasa Tanzania imebadilika.
Ukimwambia mzungu, Rais Magufuli anasomesha watoto wa kitanzania bure hawalipi ada hawawezi kukuamini wanasema hilo hadi ulaya limeshindikana, ukiwaambia wazungu huyu Baba amepeleka umeme kila kijiji Tanzania wanaduwaa wanasema kwao vijijini wanatumia solar.
Sisi ambao sio watu wa siasa jukumu letu limebaki kumuombea na kumpigia kura huyu Baba mwenye huruma na upendo kwa Watanzania
Asante sana Magufuli kwa kututoa kimasomaso Tanzania.
Ila ukiangalia huyu Magufuli ni kama Mungu aliipatia Tanzania zawadi baada ya Nyerere.
Huyu Baba anavyohangaika kuwatumikia Watanzania hadi unaweza kutoa machozi, amewanyanya Watanzania wote kutoka chini na sasa Tanzania imebadilika.
Ukimwambia mzungu, Rais Magufuli anasomesha watoto wa kitanzania bure hawalipi ada hawawezi kukuamini wanasema hilo hadi ulaya limeshindikana, ukiwaambia wazungu huyu Baba amepeleka umeme kila kijiji Tanzania wanaduwaa wanasema kwao vijijini wanatumia solar.
Sisi ambao sio watu wa siasa jukumu letu limebaki kumuombea na kumpigia kura huyu Baba mwenye huruma na upendo kwa Watanzania
Asante sana Magufuli kwa kututoa kimasomaso Tanzania.