Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Crimea wengi wana akili sana wewe sijuhi crimea wa Chatle ama Kolomije??
Shame!
Hupaswi kuishukuru selikali ikitimiza wajibu wake..

Ila isipotimiza unapaswa kuishutumu!

Yani wewe hata mumeo akikupa mahitaji yako husemi asante maana ni wajibu wake?
 
Huo ni mkopo kutoka WORLD BANK.

Hata kama Rais angekuwa Pierre Liquid angeweza kukopa tu akajenga.

Masuala ya kulipa deni mtajijua huko.

Hakuna akili yeyote iliyotumika hapo.
How wakati hizi pesa tulikuwa tunagawana kama escroll 300bm
 
Tatizo la mleta mada ushamba ndo unaomsumbua sasa kama kashuka na lori la mbuzi kutoka simiyu alipoliona hilo daraja si alijua ndo peponi?
 
Haki yako halafu unataka kuwa mtumwa nayo.
Kama ni haki yako mbona hawakujenga hiyo flyover miaka yote?

Unafikiri isingejengwa ungefanya nini!??

Usingefanya lolote lile wewe!!!

Leo ukipita kwenye flyover unachanua makalio huku unalamba koni kwa raha zako, haujui kuna wanaume walifanya kazi pale!
 
Ona haka kataahira!

Daraja la busisi anaanza kujenga maza?

Na hiyo reli unajua kama ni mwendelezo wa hii ya dar to moro?

Vijana piganeni muondokane na umasikini kwenye koo zenu kwanza haya mambo yapo juu ya uwezo wenu,
Misukule ya mwendakuzimu nyie mna kazi kweli, kwa hiyo unataka kusema miradi yote inayoendelea sasa hivi inafanyika kwa kufuata maelekezo ya mzoga tuliozika chatto? Kuna project ya Dodoma ring maza kaukanseli uambieni huo mzoga uje ujenge si ulianzisha wenyewe bwana.
 
Huyu mjinga anatakiwa awashukuru na wakoloni kwa kutuletea reli, shule, makanisa, hosps na lami kwa mara ya kwanza.
 
Kilio cha wanyonge.

Pigania maslahi ya nchi yako na familia yako fanya kazi achana na unyonge utalia lia tu hakuna litakalotokea kwa wasio wanyonge.

Embu waangalie watendaji wakuu wateule wa serikali awamu ya tano kama ni wanyonge.

Anza na wakurugenzi mnyonge wewe.
 
Mwendakuzimu alikuwa mbinafsi sana, alituaminisha hatatokea rais mwngne wa kujenga reli na madaraja, lkn cha ajab hata kabla mzoga wake funza hawajaumaliza, maza Huyo tayari kaanza kujenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza.
Alikuwa anapiga 10% za ujenzi wala hakuwa na lolote
 

We nyumbu Magufuli amekufa lakini ukisikia jina lake mkundu unatikisika?

Sio kwa matusi hayaa chaaah!!!

Lazima ulikuwa JIZI la vyeti wewe wakakutimua — manake unamwaga povu la uchungu balaa!
 
Hizi hasira zako unamtolea nani sasa hapa? Kwanini usizitumie kutafute hela ili uondoe umasikini kwenye ukoo wako?

Tumekwambia reli na daraja yote hiyo ni mwendelezo wa miradi aliyoacha Magufuli! Wewe unakuja na dodoma sijui kuna takataka gani, shida nini njaa au akili?

Nyie vijana mtakufa masikini hivi hivi mkijiona huku mkifikiri kufa kwa Magufuli ndio kupatia maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…