Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Alikuwa mbaya kuliko shetani. Unajua saa nyingine shetani ana huruma lkn yule alikwa mbaya mpaka sura
 
Acha dhambi.unamlinganisha kikwete na vitu Vya kijinga REA nchi nzima,SEKONDARI ZA KATA nchi nzima,BARABARA nchi nzima.uyo wa kwenu,kipi alifanya kwa faida ya nchi nzima????
 
Acha dhambi.unamlinganisha kikwete na vitu Vya kijinga REA nchi nzima,SEKONDARI ZA KATA nchi nzima,BARABARA nchi nzima.uyo wa kwenu,kipi alifanya kwa faida ya nchi nzima????
Mkuu hebu tuongelee kwanza loliondo tupe updates inaonekana unajua mengi [emoji846]
 
Habari ,kuna mambo mengi sana yamesemwa kuhusu awamu ya Tano tangu Hayati JPM aondoke binafsi sijaona hata Jambo Moja ikitokea mtu akamrudisha na akagombe Urais litanifanya Nisimpe kura yangu .
.
Hivi kuna kitu gani kitakufanya huyu Shujaa usimpe kura yako ? Binafsi sijaona .
 
Ngoja wauza madawa waje utajuta.

Watakushukia kama mwewe na kukuchamba mpaka uombe poo.

Chezea cocaine wewe!
 
Mods hamko serious na kazi uzi huu na hiyo title ni wapi na wapi
 
Boss, mi ningekushauri wewe na wafuasi wooote wa Magu, muache kumsemea huyo Mwamba, muiige familia yake, wako kimyaaa pamoja na matusi kila kona, ni wazi kuwa "Kizuri chajiuza........."

Wakati anagombea uraisi, akawa anadhurula kila kichochoro, uchaguzi ulipoisha akasema ili arudi TZ, ahakikishiwe usalama wake na apewe ulinzi. Jamaa alipokata moto, akaongeaaaa weeeee, nikajua sasa anarudi, wapi! Akasema mama ampe umuhakikishie usalama na ulinzi, akapewa pesa, kimyaaaaaa na hajarudi. Sasa hutamaliza ugali wako tumboni bureee kwa watu wa mtindo huu? Sasa woooote wanaomtukana mwamba ndio dizaini hii.

Familia zooote za walafi zimerudishiwa makoloni yao, unawasikia tena siku hizi, ulikuwa ukikaa huku unasikia, shangazi, kule sharungi, huku zoto ilimradi tu.

Muda ni mwalimu mzuri.
 
Mwanzo nilikuwa namchukulia poa sana magufuri kumbe jamaa ingawaji mambo mengine alikuwa atemba vibaya lakini jamaa alikuwa ni rais bora sana.

Ila mwamba alichokosea ni kuua upinzani na akafikiri yeye maamuzi yake ndio yako sawa kila kitu, lakini jamaa narudia tena alikuwa ni rais bora sana.
 
Umeandika nini hiki?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…