HATA USIPOMUUNGA MKONO BADO ATABAKI KUWA MAGUFULI RAIS WA TZ NA BOSSI WAKO TUKuna baadhi ya mambo namuelewa ila ktk kuminya demokrasia simuungi mkono kabisa.
AMEN, UBARIKIWE PIA! ACHA KUMSIFIA MWANAUME, JENGA HOJA ANGALIA BOTH SIDES OF THE COIN! KUNA VITU VYA KUREKEBISHA KATIKA MUKTADHA ULIOSIFIANashukuru sana ndugu yangu.Ubarikiwe sana.
Ni boss kwangu ila bado anahitaji maombezi yangu.HATA USIPOMUUNGA MKONO BADO ATABAKI KUWA MAGUFULI RAIS WA TZ NA BOSSI WAKO TU
Hakika, ha ha ha!Ukiangalia hiyo picha kwa makini utagundua jambo moja kuhusu Raisi Magufuli, kwamba ni mtu mjanja sana na inaelekea anafahamu jinsi ya kuishi hii Dunia, jambo ambalo binadamu wengi hatufahamu!
ujanja kuvaa miwani au kukaa kwa mashakamashaka kuna majitu humu kazi yao kusifia kila kitu hata akikohoa utasikia mkuu anakohoa vizuri
Watasifia hata ushuzi ukitoka. Utasikia Muheshimiwa bwana anajuwa sana kutoa ushuziujanja kuvaa miwani au kukaa kwa mashakamashaka kuna majitu humu kazi yao kusifia kila kitu hata akikohoa utasikia mkuu anakohoa vizuri
ujanja kuvaa miwani au kukaa kwa mashakamashaka kuna majitu humu kazi yao kusifia kila kitu hata akikohoa utasikia mkuu anakohoa vizuri
mbongo mpe picha habari anayo!Ukiangalia hiyo picha kwa makini utagundua jambo moja kuhusu Raisi Magufuli, kwamba ni mtu mjanja sana na inaelekea anafahamu jinsi ya kuishi hii Dunia, jambo ambalo binadamu wengi hatufahamu!