Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
hhahah vipi bado unaandika haya kiongozi?Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
elimu bure?Nimekua najiuliza sana,Huyu Mungu ni mwenye upendo kiasi gani,mbona huwakumbuka watu wake wakati muafaka wamuitapo?Magufuli,amefanya mambo makubwa ndani ya miezi 9 tu,
1•Elimu bure
2•kila mwanafunzi anakalia dawati
3•amefufua shirika la ndege ATCL amenunua ndege 3.
4•ameanzisha mahakama ya mafisadi.
5•watu wanatii Sheria tena bila shuruti
6•amekusanya kodi kwa kiwango cha juu sana haijawahi tokea
7•wale matajiri sasa ni vichaa.
8•tanzanight sasa huzwa live tena kwamnada.
9•serikali yote Dodoma.
10•viwanda vinajengwa kwa kasi
Sasa wewe unaepinga nabaki na maswali mengi juu yako wewe ni kibaraka Wa nani?
hahahahahahahahahahahahaKiukweli nimefatilia kuchunguza interest za wananchi wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt John Pombe magufuli upo sahihi kabisa kwa kila hatua unayo chukua. Sisi wananchi, humu humu jamii forum, tulilalamika eti awamu ya nne walisafiri sana nje ya nchi. Mpaka magazeti yakawa yanaandika hii ni ziara ya 365 kwa Jk kwenda nje na gharama zake na kweli ulikuwa ukisoma gazeti unaona logic ya gharama zenyewe. Leo hii, watu wale wale wanasema Mheshimiwa hata aendi nje ya nchi? Watanzania interest zetu ni nini? Go magufuli, you are doing the right thing.
Ndugu yangu hamna kazi ngumu kama kumuongoza Mtanzania, naomba niishie hapaKiukweli nimefatilia kuchunguza interest za wananchi wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt John Pombe magufuli upo sahihi kabisa kwa kila hatua unayo chukua. Sisi wananchi, humu humu jamii forum, tulilalamika eti awamu ya nne walisafiri sana nje ya nchi. Mpaka magazeti yakawa yanaandika hii ni ziara ya 365 kwa Jk kwenda nje na gharama zake na kweli ulikuwa ukisoma gazeti unaona logic ya gharama zenyewe. Leo hii, watu wale wale wanasema Mheshimiwa hata aendi nje ya nchi? Watanzania interest zetu ni nini? Go magufuli, you are doing the right thing.