Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hizi ni zama mpya kijana. Acha kuishi maisha ya kukariri. Mama first lady hana mihemko ya kisiasa kabisa, hadi sasa ulipaswa ujue kuhusu hilo. Mama wa watu anatekeleza majukumu yake ya kimke na sio vinginevyo. Yule mama Janet kwa taarifa yako hata kadi ya CCM hana.

Hii tabia ya ushenga na kujipendekeza inaanza kukuingia kwenye damu.
 
Ziara za magufuli na maagizo makali havikuwa vitu vipya kwangu kwani ata Mjomba alikuwa hivyohivyo.

namuona Raisi wangu anafanya maamuzi. Bila kujari yuko sahihi kiasi gani kwani ni bora kufanya maamuzi ukakosolewa na wachache kuliko kuogopa kufanya uamuzi. Ameanza kuikata kiu ya maamuzi magumu niliyoitamani kutoka kwa Lowassa.

Nashauri baada ya kuunda balaza la mawaziri Raisi wangu awapangie majukumu mazito mawaziri wake na awasisitize wawe wepesi kufanya maamuzi juu ya wizara zao na kuweka utaratibu utakaowezesha kujua na kusimamia hadi ngazi za chini kabisa ya idara zao.

Mfano waziri wa fedha aweze kuwajibishwa kwa kushindwa kuchukua hatua kwa ubadhilifu kwenye halimashauri

Au waziri wa elimu aweze kuwajubishwa kwa utoro na uzembe unaofanywa na walimu shuleni

Au Waziri wa afya awajibishwe kwa miji kujaa taka kila kona .

Hii inamaana kubwa sana hawezekani raisi agundue uozo mkubwa kwenye idara chini ya wizara unayoongozwa na waziri fulani na kuchukua hatua alafu waziri abaki salama. Waziri anasimamia wizara moja tu wakati raisi anaangalia wizara zaidi ya kumi na tano.

Hivyo hivyo waziri akigundua uozo kwenye idara iliyo chini yake sana mfano waziri wa elimu agundue shule fulani walimu hawahudhurii shuleni kabisa anatakiwa amwajibishe mkurugenzi na afisa elimu kwa tukio hilo kwani haiwezekani waziri agundue uozo chini alafu mkurugenz abaki salama wakati waziri anaangalia Tanzania nzima na mkurugenzi anaangalia halimashauri moja tu.

Pia mkurugenzi adili na wakuu wa shule.

Hivyo basi Rais wa ngu ukikuta uozo dili na mawaziri tu mawaziri ndio watajipanga, Na waziri wa kwanza kumfukuza hiyo wizara yake uisimamie wewe kwa muda ili mawaziri waone mfano.

Miongozo ya kisheria na katiba inasemaje?ndo issue iko hapo
 
Hivi ndivyo Wajerumani walivyomuelezea Rais wetu wa V Dr.Pombe Magufuli nanukuu

,,Workaholic, Perfectionist and Development Dictator"

 
propagandanist and nothing else period,halafu toa accurate reference with evidence,ushaidi hapo upo wapi
 
Please kindly provide us with a source of your information because it seems you don't know what you have posted here.
 
Where did you hack the story? From Korean who came to hack election result? Or radio kifua. Fankuuuuro
 
Whether or not this is authentic, I don't really give a freak. At least we got someone who can get sh!t done. Tanzania has been nothing but a joke for a long time, but now we're making all the right noises. Magufuli is the superman we needed, not some politician.
 
Hata wakisema hii bado ni nchi yetu na huyu ni rais wetu watuache.
 
Whether or not this is authentic, I don't really give a freak. At least we got someone who can get sh!t done. Tanzania has been nothing but a joke for a long time, but now we're making all the right noises. Magufuli is the superman we needed, not some politician.

Tanzania needs strong institutions not a strong man. I don't get you guys who think JPM will clear everything in this country. Look, we used to have strong men and women but what did they do? Come on Tanzanias lets first build strong institutions and policies....and not blah blah....
 
Tuwe na institutions imara ambapo kila mtanzania atakayechaguliwa ataweza kuongoza bila shida yoyote. Inashangaza sana watu wanaweka matumaini kwa mtu mmoja bila kujua akiondoka yeye watakuja wengine. Lets think outside the box.
 
Tanzania needs strong institutions not a strong man. I don't get you guys who think JPM will clear everything in this country. Look, we used to have strong men and women but what did they do? Come on Tanzanias lets first build strong institutions and policies....and not blah blah....
Okay. First and foremost, I didn't say he was going to clear everything, and I don't expect him to. With that cleared, now tell me Smartie, what are your suggestions to get where you think JPM can't take us?
 
Back
Top Bottom