Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuma yangu nina wafuasi 300,000..
ambao tumekula kiapo kua hatutohusika tena
kuhusiana na UKAWA.... . Kwa Sasa
tunaungana
na Magufuli katikati harakati za kuisuka upya
Tanzania tunayotaka. Najua inawauma ila ndo
hivo. Your faithfully Kamanda mtetezi
# HaPaKaZiTu
Bora umeamua kurudi njia kuu.
Kwa kasi hii ya Magufuli, Lowassa si kuwa kapoteza pambano bali kapoteza vita. Labda asubiri mteule mwingine wa ccm 2025 apambane nae, wakati huo Lowassa atakuwa na miaka 73, ccm wakiwa makini tena atasubiri 2035 wakati huo atakuwa na miaka 83, ccm wakiwa makini tena....... Endelea kujaza maana kuna kila dalili zinaonyesha atafuata nyayo za maalim Seif.
Niambie Dada FF, nakumbuka mwaka jana tulibishana sana kuhusu kushuka bei ya umeme. Niambie, Je, imeshuka? mimi nilikwambia haitashuka, wewe mishipa ilikusimama ukisema itashuka. Haya jitetee na umtetee na yule ambaye tulikwambia anafanya vibaya ulingoni, ukaishia kusema tuna chuki naye kwa 7bu ya ... Sasa Dr. wa ukweli yuko ulingoni!!!! umeona kazi yake? Usichekecheke shambani, nyani watakuona -----, watamaliza shamba la mahindi, umesikia kashfa ya tirioni 1.2 tumeibiwa nasikia na wenye nchi. Ngoja Dr. JPM aje
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
This time Tanzanians need a person of Kagame calibre to order things!. Mazoea sasa bhaaaas na kwamba Hapa kaaaaaaazi tu!
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Ndio rais wa kwanza wa nchi ya Kiafrika kubana matumizi,si unajua tena sisi Waafrika ni maarufu kwa kutumia sana huku nchi zetu zikiwa dhohofu bin hali?
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
MPINZANI WAKE MAGUFULI NI CCM WENYEWE, HUONI HAWAJAFANYA MAANDAMANO JAPO YA KINAFIKI KUMUUNGA MKONO, SISI CHADEMA TUNAFURAI KWANI ANAYOTEKELEZA NI TOKA KTK ILANI YA CHADEMA NA SI YA CCM, Home chopping centre tulipanga kumtia nguvuni.
NA CHAGUO LA CCM NA JK ILIKUWA MEMBE, UYU MAGUFULI NI MATOKEO YA UPINZANI MAHIRI
Hawa hapa Ukawa wakijadili kuhusu mzee Pombe.
View attachment 308580