Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Habari za mtu huyu zimeenea katika miji yote ya Galilaya na jerusalem..hakika ningependa kumfahamu mtu huyu..yeye ndie masiha ama tungoje ajae?
 
NyaniNgabu ni kweli kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kustaajabu haya. lakini pamoja na yote ni kitu ambacho wengi hawakutegemea. wengi tulijua ccm business itakuwa as usual japo bado ni mapema kumtathimini kiujumla ila kwa kuegemea muda huo huo mfupi amefanya vitu ambavyo wengi haswa hambao hawakumpa kura hawakutegemea kabisa. africa tuna matatizo ambayo yamekuwa ndo maisha yetu na watu mentality tumeshakubali kuwa sisi tupo hivyo na tunastahili kuwa hivyo na huwa tunajipa moyo kwamba Mungu ndo kaamua tuwe hivyo. ndo maana akija kiongozi na kufuta hali ya maisha hayo tuliozoea lazima watu wastaajabu sio kawaida
 
Last edited by a moderator:
Mkuu@Nyani Ngabu kelele ni kweli zilikuwepo lakini je zilifanyiwa kazi? kiuhalisia wengi hawakutegemea JPM kuyafanya haya akiwa katika nyumba ileile.. lakini Leo hii anadhihirishia ulimwengu kwamba inawezekana..

Nadhani tumpe muda na kumsapoti...kuendelea kuponda na kutounga mkono jitihada zake ni kujitafutia stress kwa miaka mingine kumi ijayo!
 
"Give credit where it is due"!! Kupiga kelele nyingi kwa chura hata wawe millioni hakujawahi kumkataza Ng'ombe kunywa maji kisimani! Kwa kuwa JPM anayetekeleza anagalau haya kidogo uliyokuwa ukiyapigia kelele ni M-CCM vilevile! kwa mtu mwenye busara na akili timamu kabisa kabisa; Hana budi kutambua kidogo alichokifanya JPM so far; Kumbuka kwamba uadilifu sio jina la mtu Bali ni sifa ya vitendo vyake! Tunachokishangaa ni JPM kuwa mwana-CCM kwa itikadi lakini amekuwa Mwana-UKAWA kwa vitendo na uwajibikaji!! BRAVO JPM
Mgema akisifiwa Tembo hulitia maji. Tumezidi mno kumsifia Magufuli na kwa Style hii sijui kama atafanya vizuri. Tunamsifia mpaka atakosa changamoto na mwisho ataboronga.
 
Mkuu@Nyani Ngabu kelele ni kweli zilikuwepo lakini je zilifanyiwa kazi? kiuhalisia wengi hawakutegemea JPM kuyafanya haya akiwa katika nyumba ileile.. lakini Leo hii anadhihirishia ulimwengu kwamba inawezekana..Nadhani tumpe muda na kumsapoti...kuendelea kuponda na kutounga mkono jitihada zake ni kujitafutia stress kwa miaka mingine kumi ijayo!
Wabongo Tunarogeka Kirahisi kweli. Magufuli kafanya nini cha upekee ambacho hakuna kiongozi mwingine Alifanya. Sasa zimeongezeka tu promo through mitandao Ya kijamii lkn hakuna kipya Magufuli anarukaruka tu nashangaa watu wameshasahau shida zote. kisa Muhimbili vimeongezwa vitanda utafikiri nchi nzima vimeongezeka. Nilikuwa karibu nanasa kwenye mtego wa Magufuli lkn nimestuka Magufuli ni CCM na atafanya vile CCM wanataka.
 
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Tuna mifano mingi hai ya wanasiasa wanaopiga kelele lakini hawawezi kuziishi kelele zao.

Hata Mbowe na genge lake walipiga kelele kwa zaidi ya miaka nane huku mapovu yakiwatoka kwenye mikutano wakituamisha ni wapambanaji wa kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi lakini siku ambayo kiongozi wa ufisadi Lowassa na genge lake (kama walivyotueleza) walipobisha hodi kwenye milango ya ofisi zao, wakaanza kukana hata zile kelele walizokuwa wanazipiga. Hoja za kupambana na ufisadi wakaziweka kwenye makabati.

Hata lile gari la KUB alilokuwa anatuambia bora lipigwe mnada ili pesa zitumike kununua madawa aliamua kwenda kulichukua kinyemela.

Ni wanasiasa wachache sana nchini kama siyo ulimwenguni kote ambao wanaweza kufanya kile anachokifanya Rais Magufuli.

Ni lazima ujiulize, kwa nini kile anachokifanya Rais Magufuli kinaonekana cha ajabu katika sehemu mbali mbali duniani mpaka hata raia wa nchi za Magharibi wanataka awe 'benchmark' kwa viongozi wao wakuu wa nchi.

Sikuwa mfuasi wake lakini kwa hili nampongeza. Sasa unaposema huoni cha ajabu, hv mambo magumu kama haya unapoyasemea jf yanatekelezwa? Tulitaka mtu mwenye maamuzi magumu haya ndio maamuzi magumu sasa. Baba alinifundisha UKIKOSA ULICHOKIPENDA PENDA ULICHOKIPATA. Wasaaalam.
 
Nyie mnaosema kua hakuna la ajabu alofanya..hebu jitokezeni hadharani halaf muyaseme hayo mnayoyaandika...Nyumbu nyie!!
 
Anayesema haoni cha ajabu kwa anachokifanya magufuri akapimwe akili aina za viongozi kama magufuri wanaoguswa na matatizo ya wananchi wao ni wachache sana.
 
Rais Magufuli anashangaza dunia kwa sababu hiki anachokifanya sio kawaida ya watawala (viongozi?) wengi wa Afrika.Watawala wengi wa Afrika ni wezi wakubwa na wapenda matanuzi na anasa.Wengi wana kaliba ya Mfalme Nebukadreza.Mfano Dos Santos wa Angola,Ali Bongo wa Gambia,Jacob Zuma wa SA n.k.
 
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Tuna mifano mingi hai ya wanasiasa wanaopiga kelele lakini hawawezi kuziishi kelele zao.

Hata Mbowe na genge lake walipiga kelele kwa zaidi ya miaka nane huku mapovu yakiwatoka kwenye mikutano wakituamisha ni wapambanaji wa kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi lakini siku ambayo kiongozi wa ufisadi Lowassa na genge lake (kama walivyotueleza) walipobisha hodi kwenye milango ya ofisi zao, wakaanza kukana hata zile kelele walizokuwa wanazipiga. Hoja za kupambana na ufisadi wakaziweka kwenye makabati.

Hata lile gari la KUB alilokuwa anatuambia bora lipigwe mnada ili pesa zitumike kununua madawa aliamua kwenda kulichukua kinyemela.

Ni wanasiasa wachache sana nchini kama siyo ulimwenguni kote ambao wanaweza kufanya kile anachokifanya Rais Magufuli.

Ni lazima ujiulize, kwa nini kile anachokifanya Rais Magufuli kinaonekana cha ajabu katika sehemu mbali mbali duniani mpaka hata raia wa nchi za Magharibi wanataka awe 'benchmark' kwa viongozi wao wakuu wa nchi.

Mimi binafsi nilijua hatuna president makini tangu 2005 nov.
Yapo mambo ya msingi yaani basic ambayo president anatakiwa kufanya, na hicho ndo magufuli anafanya.

Ukiwa una kiwango cha mh. JK then utaona Kama JPJM anafanya makubwa but those are basic things to be done at the level of presidential position.

Sasa mi nasubiri afanye beyond that level kwa mtupo wangu wa jicho( my scope)
 
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Tuna mifano mingi hai ya wanasiasa wanaopiga kelele lakini hawawezi kuziishi kelele zao.

Hata Mbowe na genge lake walipiga kelele kwa zaidi ya miaka nane huku mapovu yakiwatoka kwenye mikutano wakituamisha ni wapambanaji wa kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi lakini siku ambayo kiongozi wa ufisadi Lowassa na genge lake (kama walivyotueleza) walipobisha hodi kwenye milango ya ofisi zao, wakaanza kukana hata zile kelele walizokuwa wanazipiga. Hoja za kupambana na ufisadi wakaziweka kwenye makabati.

Hata lile gari la KUB alilokuwa anatuambia bora lipigwe mnada ili pesa zitumike kununua madawa aliamua kwenda kulichukua kinyemela.

Ni wanasiasa wachache sana nchini kama siyo ulimwenguni kote ambao wanaweza kufanya kile anachokifanya Rais Magufuli.

Ni lazima ujiulize, kwa nini kile anachokifanya Rais Magufuli kinaonekana cha ajabu katika sehemu mbali mbali duniani mpaka hata raia wa nchi za Magharibi wanataka awe 'benchmark' kwa viongozi wao wakuu wa nchi.

Umezungumuza ukweli mchungu ambao wengi hawataki kusikia lakini hicho ulichosema ni sahihi kabisa.

Naweza nikasema Mungu ameiona Tanzania kama Tungepata kiongozi kama aliyepita sijui ingekuwaje ndani ya miaka kumi ijayo?
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.

We we nimpenda sifa tuu, ubovu wa walio mtangulia unamfanya magufuli aonekene mzr. We we kelele zako zili zaa matunda gani?
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Anachofanya ni cha kawaida sana, raisi yoyote anatakiwa kufanya hivyo, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, kuimarisha uchumi, kuboresha huduma za jamii na kuweka uongozi bora.
The big question is; je, umewahi kuona maraisi wa kiafrika wakifanya hivyo? Wanatumia zaidi ya wanachopata, wakiwa madarakani wanajisahau na kujiona miungu watu...
Hem ona hayo madudu yanayoibuka kila siku, as if the country was in autopilot for 10yrs.
 
Anachofanya ni cha kawaida sana, raisi yoyote anatakiwa kufanya hivyo, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, kuimarisha uchumi, kuboresha huduma za jamii na kuweka uongozi bora.
The big question is; je, umewahi kuona maraisi wa kiafrika wakifanya hivyo? Wanatumia zaidi ya wanachopata, wakiwa madarakani wanajisahau na kujiona miungu watu...

Hivi aliyoyafanya mpaka hivi hayakuwahi kabisa kufanywa na Nyerere?

Au kwa vile wengi wetu tuna kumbukumbu fupi?

Au kwa vile wengine walikuwa hata hawajazaliwa kipindi Nyerere yuko madarakani?

Hem ona hayo madudu yanayoibuka kila siku, as if the country was in autopilot for 10yrs.

Hata hayo madudu wala si mapya. Tokea kipindi cha Mwinyi yalikuwepo.

Kipindi cha Mkapa yakawepo.

Hata kwenye zama za maisha bora kila Mtanzania yalikuwepo.

Kwa hiyo hakuna kilicho kipya sana ambacho kimeibuliwa katika hizi wiki nne.
 
Jana nimenunu petrol nikashangaa nagongewa dirisha....eti napewa risiti za EFD bila kuomba...nilishindwa kujizuia nikaanza kuwacheka....MTANYOOOKA....lazima mlipe kodi...!!!!!!!

Naweka mafuta kwenye hiki kituo kwa muda mrefu sikuwai jua hata kama wana EFD
 
Back
Top Bottom