Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Naunga mkono hoja.
P
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Like seriously bro?Naunga mkono hoja.
P
Imagine,,tangu November 2016 una LIKES 5 tuu???????Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
mkuu hujamuelewa huyoLike seriously bro?
sawa haya nenda kajojoe ukalaleHaijawahi tokea na haitotokea mchukieni amasishaneni kumtukana na kumnanga ila huyu Rais ana akili sana. Ana akili mpaka anawatafakarisha wale wanamchukua poa.
Rais Genius wa tanzania ndie rais pekee africa alie ingia ikulu nakukuta haina kitu pasipo kutukana wala mshambulia mwenzake alie ondoka akaziangalia fursa na sasa nina vyoandika hazina ina mzigo wakutosha kwa kipindi kifupi.
Genius Dr Magufuli ndie rais alie wafanya mafisadi wote Tanzania kukaa chini nakujikuta wakifanya majumba yao kuwa mahabusu zao za ndani. Jinsi anavyo deals namafisadi nataka kukuambia ewe mtanzania embu muombea huyu Rais maana hamjuwi kinaendelea pale kiotani. Watu wanaomba poooo Magufuli usione Lowasa alienda ikulu ukafikiri alitamani hapana pooo ndio iliompeleka ikulu. Magufuli nikichwa na nina takakuwaambia tumuombee watu wanasema poooo pooo Mzee tulitenda dhambi na vyombo vyetu vya ulinzi vinakazi nzuri Mpaka mvua yabaraka inashuka juu ya taifa.
Rais Magufulindie rais watanzania uwenda kwa sasa vyombo vingi vya kijasusi duniani vinafuwatilia mode ya uongoz wake na jinsi anafanikiwa maana haijawahi tokea na wanapata shida kwa uwezo anao ktk nyanja ya kiutendaji. Vyombo kama M6, KGB,CIA and MOSSAD ndio vyombo kwa sasa vinamtafakari kiongoz shupavu wa afrika ambaye amekataa mkate na asali ya ugaibuni na kwa sasa anavaa nguo za kitanzania na misos ya kibongo unapita wapi...
Rais Genius kutekeleza miradi mikubwa ya kujenga vinu vikubwa vyakufuwa umeme wa maji, Rel ya kimataifa, kuunda jiji la dodoma na majengo makubwa ya serikali na mambo mengine ndugu hajawahi tokea kiongoz kama huyu mwenye speed ya ajabu ktk kutekeleza miradi yamaendeleo.
Ununuzi wa ndege na meli kubwa kule Mwanza kwakweli inawatafakarisha wenye akili nakuamini kweli Tz imepata baba wa Taifa.
Jinsi ameushika upinzani pabaya ndio maana wanahaha kumsumbuwa ili wajifilie kwakufungwa chama lao waseme amewaonea ila kifo chao kitakuwa ktk kura 2020.
Magufuli amepita wote na baada yake hatokuwepo kwa miaka kadhaa na wale mnawaona wanafanana naye nataka kuwaambia sio kweli this men is unique created by God.
Mungu tunasema Asante kwa Rais wajamuhuri ya watu watanzania Dr John Pombe Magufuli
Labda unampenda wewe na mkeoNilijarib kufanya utafit Wang binafs, nikagundua jpm anapendwa sana na wananchi japokua watendaji kazi wake wanao msaidia ndo wana mwangushaxna, na kufanya wananchi baadhi kuilaum serkar ya jpm .ww kam maana jforums una maoni gan? Una mkubr au