Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

kumekuwa na maneno maneno mitaani kuwa mbona mh rais hasemi kitu kuhusiana na suala la kutekwa kwa Mo Dewji. mnataka aseme nini? yeye si mnafiki.anajua anachokifanya. mwacheni msimsumbue. kuna watu wengine ni wanafiki wanaweza kukukanyaga kwa makusudi halafu wakakupa pole au kusikitika. hiyo ndo tabia wanayopenda watanzania. mh rais hayupo hivyo. akisema amesema.

kuna kauli nyingi ambazo mh rais aliwahi zitamka na zikawa kweli kwa sababu yeye husema ukweli.wewe usipopenda ni juu yako ila amekupa ukweli. sasa watanzania mnakuwa wanafiki mpaka unafiki unakuwa ninyi.mnataka mh rais aseme ana huzuni? anasikitishwa,ana majonzi?ana omboleza? mnataka tamko gani na la nini? kwa nini mnataka kumfundisha mh uongo na unafiki?

sisi na yeye tutapiga kazi tu.na wale walio tayari kufanya nasi kazi tutafanya nao wasio tayari tusilaumiane sisi tutakapokuwa busy hatutaki maneno maneno.yeye atawapumzisha walio na mizigo nawalio tayari kumwendea.wengine mizigo yao itawalemea na mwishowe watakuja huku kulia lia.
Waambie mkuu sijui kwa nini hawasikii
 
kumekuwa na maneno maneno mitaani kuwa mbona mh rais hasemi kitu kuhusiana na suala la kutekwa kwa Mo Dewji. mnataka aseme nini? yeye si mnafiki.anajua anachokifanya. mwacheni msimsumbue. kuna watu wengine ni wanafiki wanaweza kukukanyaga kwa makusudi halafu wakakupa pole au kusikitika. hiyo ndo tabia wanayopenda watanzania. mh rais hayupo hivyo. akisema amesema.

kuna kauli nyingi ambazo mh rais aliwahi zitamka na zikawa kweli kwa sababu yeye husema ukweli.wewe usipopenda ni juu yako ila amekupa ukweli. sasa watanzania mnakuwa wanafiki mpaka unafiki unakuwa ninyi.mnataka mh rais aseme ana huzuni? anasikitishwa,ana majonzi?ana omboleza? mnataka tamko gani na la nini? kwa nini mnataka kumfundisha mh uongo na unafiki?

sisi na yeye tutapiga kazi tu.na wale walio tayari kufanya nasi kazi tutafanya nao wasio tayari tusilaumiane sisi tutakapokuwa busy hatutaki maneno maneno.yeye atawapumzisha walio na mizigo nawalio tayari kumwendea.wengine mizigo yao itawalemea na mwishowe watakuja huku kulia lia.
Mbona wewe ndio unamsemea sasa. Ungemuacha Aseme Mwenyewe!
 
Tumekuelewa ulichomanisha, basi sawa akichoka aturudishie team yetu isije ikaanza kupitia kipindi kigumu.
 
Ambaye anasema na hageuki na kubadili kauli yake ni Mungu tu.

Niko ofisi ya kijiji kuulizia million 50.
 
Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.

Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.

Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....
 
Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.

Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.

Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....
Basi tudai na viongozi waliopita sura zao ziwekwe kwenye noti,nao pia walifanya mazuri
 
Nimpongeze JPM kwa kurejesha nidhamu ya serikali na kuwafanya watanzania kujivunia utanzania wao.

Nimeshuhudia sura ya JPM katika baadhi ya maeneo ikiwatia watu hofu nakuacha madhambi Yao, yapo mangira sauti yake inapojirudia kwenye ubongo wa muhalifu basi mtenda uhalifu uacha uhalifu wake hasa Wala rushwa.

Ni mtizamo wangu kuwa pesa ni moja ya kitu kinachoshikwa na watu wengi wa umri mbalimbali hivyo SURA YA JPM IKIWEKWA KWENYE NOTI MOJAWAPO KATI YA ELFU MOJA, TANO AU KUMI itasaidia kuwakumbusha watumiaji wa pesa hiyo kuwa ni fedha halali kwa malipo halali.....
Kwani Noti Zilizopo Hivi Sasa Si Fedha Halali????? Au Ndio Mahaba Yamezidi..
 
Back
Top Bottom