Mafanikio ya Simba CAFCL na Yanga CAFCC kutoka Tanzania ndiyo imekuwa Lifti Kuu ya Uganda na Kenya kwa AFCON ya 2027

Mafanikio ya Simba CAFCL na Yanga CAFCC kutoka Tanzania ndiyo imekuwa Lifti Kuu ya Uganda na Kenya kwa AFCON ya 2027

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Atakayenibishia hili GENTAMYCINE nitamdharau hadi Dunia itakapopinduka na kumuona hazijamtimia Kichwani kwakuwa ni Jambo ambalo liko wazi hata tu Kiuhalisia.

Asanteni sana Simba SC kwa kwenda Robo Fainali CAFCL mara Nne na Yanga SC kwenda Fainali ya CAFCC kwa mara ya Kwanza na Watanzania kuwa na Vibe la Soka Viwanjani kwani ni kwa kupitia haya Mafanikio yenu ndiyo yamewavutia CAF na kuweza kuwa ni Lifti kwa nchi za Uganda na Kenya katika kufanikiwa kuwa Waandaaji wa pamoja wa Michuano ya AFCON kwa mwaka 2027.
 
Hapana! Bid ya Tanzania, Kenya na Uganda kwa pamoja ilikuwa na nguvu sana kwenye CAF kwa vile ilikuwa na msukumo wa nchi tatu siyo kwa sababu ya timu yoyote. Hata FIFA wamewapa Marekani, Mexico na Canada nafasi ya kuandaa mashindano ya kombe ya dunia yajayo japo hawana timu yoyote inaytobaulika kidunia.
 
Bongo hatuna viwanja vya maana tu vinginevyo haya mashindano tungeweza kuyapambania tukaandaa sisi wenyewe. Kwenye suala la soka na vibe lake kiujumla sisi ndio tupo juu huu ukanda wa Afrika mashariki
Ni kweli kbs ,ingawa kenya 1996 nadhani alipewa uenyeji akachemka , sie hii ingepigwa, Dar,dom,arusha ,mwanza ,znz ni umaskini wetu tu
 
Ni kweli kbs ,ingawa kenya 1996 nadhani alipewa uenyeji akachemka , sie hii ingepigwa, Dar,dom,arusha ,mwanza ,znz ni umaskini wetu tu
Nani kakuambia kuwa Tanzania ni Masikini? Una Maziwa makubwa matatu, una Madini, una Mlima mkubwa, una Bahari na Bandari za Mkakati Kiukanda na Ardhi Kubwa yenye Rutuba bado utasema Wewe ni Masikini?

Siku nyingine ukiwa Unachangia Mada zangu GENTAMYCINE uwe unatumia Akili na ukikijua huna Akili usiwe unachangia sawa?
 
Nani kakuambia kuwa Tanzania ni Masikini? Una Maziwa makubwa matatu, una Madini, una Mlima mkubwa, una Bahari na Bandari za Mkakati Kiukanda na Ardhi Kubwa yenye Rutuba bado utasema Wewe ni Masikini?

Siku nyingine ukiwa Unachangia Mada zangu GENTAMYCINE uwe unatumia Akili na ukikijua huna Akili usiwe unachangia sawa?
Acha mikwara mbuzi we kiazi
 
Hzo ni sababu alizotoa rais wa shirikisho la soka Uganda lkn yawezekana ni zaidi ya hapo
 
Hapana! Bid ya Tanzania, Kenya na Uganda kwa pamoja ilikuwa na nguvu sana kwenye CAF kwa vile ilikuwa na msukumo wa nchi tatu siyo kwa sababu ya timu yoyote. Hata FIFA wamewapa Marekani, Mexico na Canada nafasi ya kuandaa mashindano ya kombe ya dunia yajayo japo hawana timu yoyote inaytobaulika kidunia.
Kenya nadhani kati ya 1996 alipata uenyeji a
Nani kakuambia kuwa Tanzania ni Masikini? Una Maziwa makubwa matatu, una Madini, una Mlima mkubwa, una Bahari na Bandari za Mkakati Kiukanda na Ardhi Kubwa yenye Rutuba bado utasema Wewe ni Masikini?

Siku nyingine ukiwa Unachangia Mada zangu GENTAMYCINE uwe unatumia Akili na ukikijua huna Akili usiwe unachangia sawa?
Hahahaha, pumbavu
 
Atakayenibishia hili GENTAMYCINE nitamdharau hadi Dunia itakapopinduka na kumuona hazijamtimia Kichwani kwakuwa ni Jambo ambalo liko wazi hata tu Kiuhalisia.

Asanteni sana Simba SC kwa kwenda Robo Fainali CAFCL mara Nne na Yanga SC kwenda Fainali ya CAFCC kwa mara ya Kwanza na Watanzania kuwa na Vibe la Soka Viwanjani kwani ni kwa kupitia haya Mafanikio yenu ndiyo yamewavutia CAF na kuweza kuwa ni Lifti kwa nchi za Uganda na Kenya katika kufanikiwa kuwa Waandaaji wa pamoja wa Michuano ya AFCON kwa mwaka 2027.
hii ni kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa wanaotuangusha ni azam tu haiwezekani timu ina kila kitu lakini inatolewaga kwenye hatua za awali.
Lazima wadhibitiwe ama kutokushiriki mashindano hayo hata wakiwa top four ama watuhakikishie nao angalao wafike robo fainali.
 
Back
Top Bottom