Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hizo training grounds kwa timu zitazokuja sizionBongo hatuna viwanja vya maana tu vinginevyo haya mashindano tungeweza kuyapambania tukaandaa sisi wenyewe. Kwenye suala la soka na vibe lake kiujumla sisi ndio tupo juu huu ukanda wa Afrika mashariki
Hongera,umesema kweli sio ushabiki...Hapana! Bid ya Tanzania, Kenya na Uganda kwa pamoja ilikuwa na nguvu sana kwenye CAF kwa vile ilikuwa na msukumo wa nchi tatu siyo kwa sababu ya timu yoyote. Hata FIFA wamewapa Marekani, Mexico na Canada nafasi ya kuandaa mashindano ya kombe ya dunia yajayo japo hawana timu yoyote inaytobaulika kidunia.