Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
- Thread starter
- #21
Kama huyo Fireboy aisee levo nyingineMiaka mitatu nyuma diamond alikua kwenye level moja na wakina Wizkid, davido na burnaboy ila mpaka sasa hawa jamaa wamemuacha mbali sana ,sasahiv anakazi ya kupambana na wakina ruger ,rema,joeboy, fireboy, ckay, jaywizzy n.k