Mafanikio ya wanaume hupimwaje?

Asnam mimi na mama Ngina siku moja moja huwa tunakumbushia hayo maloveee na tuna watoto watatu mpaka sasa tukielekea kutimiza miaka kumi ya kuishi pamoja.........

uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii pongezi sana kama sio kweli utanilipa
 
Ni kweli- mke akimjali na kuonyesha confidence kwa mumewe katika kila alifanyalo, humpa ari zaidi na msukumo unaopelekea mafanikio.
Hata hivyo inabidi kuweka angalizo: Kuna wanaume unaweza kuwaonyesha kuwaamini, na wapo ambao huwezi kuwaamini.Hwa wanatakiwa kuchungwa kama watoto maana ukiwapa kisogo tu umeumia. Hawa ni wale wasiojituma kwa lolote au wasioweza kujua vipaumbele ni vipi. Ukiwachekea na kuwaacha wafanye watakalo kwa kuogopa kuonekana una gubu basi utashangaa maana familia yako itakuwa mkia kila siku!
Je wanaume hawa wa kundi la pili wanatakiwa kufanywaje? Kipi bora kuwachochea waweze kuamka na kufanya lolote au kuwaacha wapotee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…