Mafao: Kwanini Hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?

Mafao: Kwanini Hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?

bumilo

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2014
Posts
352
Reaction score
175
"Kwa nini hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?" Amesikika mdau mmoja aliyeachishwa kazi na bahati mbaya kupata ajira nyingine imekuwa ngumu kwake.

Alipofuatilia mafao yake NSSF kaelezwa akae miezi sita ndio atalipwa stahiki zake na atakuwa akilipwa asilimia 33 ya mshahara wake wa awali

Huyu ndugu kakata tamaa na analaani waliopitisha sheria iliyoondoa FAO la kukosa ajira kwani ana akiba yake NSSF lakini anateseka na familia yake. Nani awe sauti ya wanyonge kama hawa? Nani awasaidie kupaza sauti zao ili sheria kandamizi kama hii ifutwe kabisa ili watu wapate haki zao kwa muda mwafaka wakajifanyie shughuli mbalimbali za maendeleo?

Nani anajali?
 
"Kwa nini hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?" Amesikika mdau mmoja aliyeachishwa kazi na bahati mbaya kupata ajira nyingine imekuwa ngumu kwake.

Alipofuatilia mafao yake NSSF kaelezwa akae miezi sita ndio atalipwa stahiki zake na atakuwa akilipwa asilimia 33 ya mshahara wake wa awali

Huyu ndugu kakata tamaa na analaani waliopitisha sheria iliyoondoa FAO la kukosa ajira kwani ana akiba yake NSSF lakini anateseka na familia yake. Nani awe sauti ya wanyonge kama hawa? Nani awasaidie kupaza sauti zao ili sheria kandamizi kama hii ifutwe kabisa ili watu wapate haki zao kwa muda mwafaka wakajifanyie shughuli mbalimbali za maendeleo?

Nani anajali?
JPM ni sauti ya wanyonge
 
Back
Top Bottom